Category: Makala
Nyerere: Tuoneshe demokrasia kivitendo
“… ingawa kwa nadharia muundo wa Chama chetu (akimaanisha CCM) ni wa kidemokrasia, lakini katika vitendo hatuonyeshi demokrasia wakati wote na kwa shughuli zetu zote.”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ambayo ni sehemu ya wosia wake wa kuitaka CCM ijenge dhana ya kuonesha demokrasia ya kweli kwa vitendo.
UN na jitihada za kuisaidia Tanzania
Tanzania ni nchi tajiri kwa rasilimali, na licha ya pato lake kukua mwaka hadi mwaka, wananchi wake ni maskini.
Nguvu ya rangi katika biashara zetu
Leo nitawapitisha wajasiriamali katika somo muhimu kuhusu rangi. Je, unafahamu chimbuko la neno yeboyebo hapa nchini? Twende pamoja. Miaka michache iliyopita, kampuni moja ya hapa Tanzania ilitambulisha bidhaa zake za juisi zilizokuwa zikifahamika kama “Yebo”. Juhudi kubwa ilielekezwa katika kuitangaza…
Serikali isipuuze, udini upo, iuthibiti (4)
Wiki iliyopita nilieleza chanzo na sababu za kuwapo kwa udini nchini, jinsi ulivyopandwa na kupaliliwa hadi kumea na kuwa mgumu kama kisiki cha mti aina ya mpingo.
Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (1)
Ipo methali moja ya Kiswahili isemayo, “Usipoziba ufa utajenga ukuta”. Methali hii ina fundisho kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku.
Nyangwine amkosoa January Makamba
*Asema kauli yake inabagua wazee CCM
*Aahidi kumuunga mkono mzee Wasira
Kauli iliyotolewa na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba, kwamba mtu yeyote aliyezaliwa mwaka 1961 hapaswi kuwa Rais wa Tanzania, imemkera Mbunge wa Tarime, Nyambari Nyangwine.
Habari mpya
- Kikwete : CCM si chama cha maneno maneno bali ni chama cha vitendo
- Bei elekezi ya madini ya vito kuchochea ukuaji uchumi – CPA Kasiki
- Viongozi wa dini Kanda ya Magharibi waazimia kudumisha amani kuelekea Uchaguzi Mkuu
- Dkt. Samia apokea Ujumbe Maalum wa Rais wa DRC
- Oktoba 29 ni siku ya mapumnziko
- Samia: Vijana tulizeni munkari, msidanganywe
- Tanzania yapata nafasi za ajira 50,000 nje ya nchi
- Maaskofu, Masheikh nyandaza juu wahimiza uchaguzi wa amani
- Maafisa Maendeleo ya Jamii Wanawake Songwe wakabidhiwa pikipiki kama vitendeakazi
- Shamrashamra za kampeni za mgombea urais CCM Buza
- Muunganiko wa asasi za kiraia zawashauri wanawake kupiga lura Oktoba 29,2025
- TCCIA kuendelea kutambua fursa za masoko kimataifa
- TRC yafanya uchunguzi wa kina ajali ya treni ya mwendokasi Ruvu
- Samia: NHC imejipanga kujenga makazi bora ya wananchi
- Mgombea udiwani ACT Wazalendo aahidi kuisuka upya Mabale, Misenyi kimaendeleo