JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Uingereza, Marekani hawaitambui taifa la Palestina

Takriban nchi 140 zimelitambua taifa la Palestina, kulingana na barua ya hivi majuzi kwa Umoja wa Mataifa. Nchi hizo zinajumuisha wanachama wa Kundi la nchi 22 za Kiarabu katika Umoja wa Mataifa, Jumuiya ya Nchi 57 za Ushirikiano wa Kiislamu…

Kiongozi mkuu wa Iran aongoza ibada ya mazishi ya Raisi

Kiongozi mkuu wa Iran ameongoza mazishi ya marehemu rais wa nchi hiyo, Waziri wa Mambo ya Nje na wengine waliofariki katika ajali ya helikopta siku ya Jumapili. Ayatullah Ali Khamenei aliongoza sala ya mazishi katika Chuo Kikuu cha Tehran. Rais…

Moshi wa jenereta wawaua wanafunzi wa Nigeria

Takriban wanafunzi saba wa chuo kikuu wamefariki baada ya kuvuta moshi kutoka kwa jenereta katika studio ya muziki katika jimbo la Bayelsa lenye utajiri wa mafuta nchini Nigeria. Vijana hao wanasemekana kufanya kazi hadi Jumatatu usiku na kulala kwenye studio…

RC Simiyu akerwa jenereta kushindwa kutumika kwa ukosefu wa chumvi, mkaa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu MKUU wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahaya Nawanda ametoa siku tano kwa Mkuu wa Wilaya ya Busega, Faidha Salim pamoja na Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Michael Kachoma kuhakikisha jenereta ya Hospitali ya Wilaya ya Busega…

Serikali yajenga daraja Ruhembe

Wananchi wa Kata za Ruhembe, Kidodi, Uwembe, Vidunda, Mikumi na Kilolo waliokuwa wakiteseka kwa muda mrefu kusafiri umbali mrefu au kuzunguka kwenye mashamba ya miwa kuzifikia huduma za kijamii kwa sasa wanaondokana na adha hiyo baada ya serikali kujenga daraja…

Majaliwa : Vyombo vya habari vijiepushe na habari za uchochezi

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka mamlaka zinazohusika na usimamizi wa sekta ya habari ziendelee kusimamia vyombo vya habari vizingatie maadili na kujiepusha na uchapishaji wa taarifa na picha zinazochochea uvunjaji wa maadili, mila na desturi za Kitanzania. Pia, Waziri Mkuu…