Latest Posts
Serikali kuendelea kutoa elimu ya kanuni za biashara ya kaboni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema itaendelea kujenga uelewa kwa wadau mbalimbali kuhusu Kanuni na Miongozo inayosimamia Biashara ya Kaboni. Hayo yamebainishwa leo Jumanne (Mei 21, 2024) na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira),…
Waziri Silaa : Urasimishaji makazi kuboreshwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amesema zoezi la urasimishaji linaloendelea maeneo mbalimbali nchini litaboreshwa ili kuleta ufanisi. Silaa amesema hayo tarehe 21 Mei 2024 wakati wa semina kwa Wajumbe wa…
TANROADS Lindi yarejesha mawasiliano barabara ya Kilwa Masoko -Nangurukuru – Liwale
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Lindi umefanikiwa kurejesha mawasiliano yaliyokuwa yamekatika kati ya Kilwa Masoko-Nangurukulu wilaya ya Kilwa na wilaya ya Liwale mkoani Lindi. Mawasiliano hayo yamereshwa ndani ya saa 24 kupitia kazi…
Ummy : Epukeni matumizi holela ya dawa
Na WAF – Tanga Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amewataka Watanzania kuacha matumizi holela ya dawa bila kufuata ushauri wa madaktari ili kuepuka usugu wa dawa dhidi ya vimelea ambapo husababisha dawa hizo kushindwa kuponya. Waziri Ummy amesema hayo Mei…
Wiki ya AZAKI yazinduliwa Dar, Rutenge awashauri wananchi kutoa maoni Dira ya Taifa 2050
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Foundation For Civil Society (FCS) Justice Rutenge, amesema katika kutekeleza Dira ya Taifa 2050 wananchi wanapaswa kupaza sauti zao kwa kutoa maoni yatakayopelekea kupata Dira bora kwa maendeleo ya jamii…
FCS, Vodacom waingia mkataba wa mil.150/- kuelekea wiki ya AZAKI
Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika la The Foundation for Civil Society (FCS), na Vodacom Tanzania Foundatio wamesaini makubaliano ya mkataba wa mwaka mmoja wenye thamani ya Shilingi milioni 150 ikiwa ni udhamini wa Wiki ya AZAKI 2024, itakayofanyika…