Latest Posts
Saruji nyeupe kuitangaza Tanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Serikali imezitaka halmashauri nchini kuendelea kuboresha miundombinu sanjari na kutenga maeneo rafiki kwa uwekezaji na wawekezaji ili kuifikia azma ya serikali kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha uwekezaji. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe…
Mafuriko mapya yasababisha vifo vya watu 66 Afghanistan
Mafuriko mengine mapya yamewaua watu 66 katika Mkoa wa Faryab kaskazini mwa Afghanistan. Mamia ya watu wamekufa katika mafuriko tofauti mwezi huu ambayo pia yamesomba mashamba . Mafuriko mengine mapya yamewaua watu 66 katika mkoa wa Faryab kaskazini mwa Afghanistan….
Mukhbar kuiongoza Iran kwa siku 50
Na Isri mohamed SAA chache baada ya kutangazwa kwa kifo cha Rais wa Iran, Ebrahim Raisi, aliyekuwa makamu wa Rais wake Muhammad Mukhbar anajiandaa kuiongoza nchi hiyo kwa kipindi cha mpito cha siku 50. Kwa sasa Mukhbar anasubiri tu kuthibitishwa…
Gumzo la nani atachukua nafasi yake Rais Iran
Rais Ebrahim Raisi alikuwa karibu kufikia nafasi ya juu ya madaraka katika Jamhuri ya Kiislamu na alipendekezwa sana kupanda hadi nafasi hiyo. Kufariki ghafla kwa Rais Ebrahim Raisi katika ajali ya helikopta siku ya Jumapili kumezua gumzo la nani hatimaye…
BREAKING NEWS, Rais wa Iran afariki dunia
Rais wa Iran Ebrahim Raisi, Waziri wa Mambo ya Nje Hossein Amir-Abdollahian na wengine kadhaa wamethibitishwa kufariki dunia katika ajali ya helikopta iliyotokea Jumapili kaskazini-Magharibi mwa Iran. Helikopta hiyo ilipatikana kaskazini magharibi kwenye mteremko wa kilima katika eneo la Varzaghan,…
TMA yatoa taarifa ya mwenendo kimbunga Ialy Bahari ya Hindi Kaskazini mwa Madagascar
Kufuatia taarifa iliyotolewa tarehe 17 Mei 2024 na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kuhusu kuwepo kwa kimbunga “IALY” katika Bahari ya Hindi kaskazini mwa kisiwa cha Madagascar, Mamlaka inapenda kutoa mrejeo kuhusiana na mwendendo wa kimbunga hicho. Mifumo…