JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Tulia, Rais wa Hungary wajadili hali ya amani duniani

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 8 Oktoba, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Hungary, Tamas Sulyok katika Ikulu ya nchi…

Watu 10 wafariki dunia baada ya mgodi kuporomoka Zambia

Takriban watu 10 wamekufa na idadi ya wengine isiyojulikana hawajulikani walipo baada ya mgodi kuporomoka katikati mwa Zambia. Mamlaka nchini Zambia imesema shughuli ya uokoaji inaendelea japo haijabainika idadi kamili ya wachimbaji madini waliofukiwa chini ya ardhi. Mgodi huo uliporomoka…

Taye Selessie achaguliwa kuwa Rais mpya Ethiopia

Mabunge mawili ya Bunge la Ethiopia yamemchagua Taye Atske Selassie, Mwanadiplomasia kuwa Rais wa nchi hiyo. Taye Atske Selassie ameapishwa Oktoba 07, 2024 na kukabidhiwa katiba na Rais wa nchi anayemaliza muda wake. Taye anachukua mikoba ya Rais wa kwanza…

Tanzania ina mkakati madhubuti utakaofanikisha matumizi ya nishati safi ya kupikia – Balozi Chana

📌Atoa wito kwa Watanzania kuyaishi maono ya Rais Samia Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana amesema Serikali imeandaa mkakati madhubuti wa Nishati Safi ya Kupikia wenye lengo kuwaondoa watanzania katika adha itokanayo na matumizi ya nishati isiyo…

Ofisi ya Msajili wa Hazina yapongezwa kwa mafunzo ya watendaji wa taasisi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali kupitia Katibu Mkuu wa Wizara ya Mipango na Uwekezaji imeipongeza Ofisi ya Msajili wa Hazina na Taasisi ya Uongozi kwa kuandaa mafunzo elekezi ya siku tatu kwa watendaji wakuu wapya wa taasisi za umma, yenye…

Wizara za Maliasili Tanzania, Finland kushirikiana maboresho sekta ya misitu

Na Mwandishi Wetu, Helsinki, Finland Wizara ya Maliasili na Utalii ya Tanzania na Wizara ya Kilimo na Misitu ya nchini Finland zinakamilisha mradi mpya wa kuboresha sekta ya misitu ili kuipa thamani sekta hiyo kuwa ya kibiashara zaidi kutokana na…