Latest Posts
Rais Samia : Acheni kuvamia maeneo ya hifadhi
Na Happiness Shayo, KamhuriMedia, Katavi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi kuacha kuvunja sheria kwa kuvamia maeneo ya hifadhi na badala yake kutunza mazingira hayo. Kauli hiyo imekuja kutokana na maombi ya…
Timu ya Taifa ya Tenis safarini kushiriki mashindano ya dunia
Na Lookman Miraji,JamhuriMedia, Dar es Salaam Timu ya taifa ya mchezo wa tenis imesafiri asubuhi ya leo hii kuelekea nchini bostwana kushiriki mashindano ya Dunia kanda ya tano kwa ukanda wa Afrika. Akizungumza hapo jana katika hafla ya kuagwa kwa…
eGA yatoa wito kwa wananchi kutumia mfumo wa e-mrejesho
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Serikali Mtandao (eGA) imetoa wito kwa wananchi kutumia mfumo wa e-mrejesho katika kuwasiliana na serikali kutoa hoja zao ili iweze kuzifanyia kazi. Akizungumza na waandishi wa habari katika banda la eGA…
Wadau wa masuala ya kidigitali waomba kutambulika kama wafanyabiashara
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WADAU wa masuala ya kidigitali nchini wamemuoamba Waziri wa Viwanda na Biashara Dk. Selemani Jafo kuanza kuangalia kwa mapana zaidi sekta hiyo hasa upande wa usafirishaji fedha kidigitali yenye lengo la kuleta mabadiliko…
CRDB yazidi kuwainua wanawake kiuchumi, yaweka akaunti maalumu ya Malkia
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIKA kuhakikisha inawainua wanawake kiuchumi, Benki ya CRDB imeendelea kuwawezesha kwa kufungua akaunti ya Malkia ambayo itakuwa ni yenye malengo yakinifu na manufaa kwa maendeleo kwa wanawake. Akizungumza katika banda lao lililopo katika…
PURA: Asilimia 80 ya Watanzania kutumia nishati safi ya kupikia ifikapo 2034
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), Mhandisi Charles Sangweni, amesema kuwa wamejiwekea malengo ifikapo mwaka 2034, matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa wananchi yafikie asilimia…





