Latest Posts
Anaswa na mbinu mpya ya utengenezaji dawa za kulevya kwa kutumia tiba asili
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shabani Musa Adam (54) anashikiliwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa tuhuma za kutengeneza dawa za kulevya zinazojulikana kama heroin kwa kutumia dawa tiba asili zenye asili ya…
Jukumu letu kuzingatia sheria katika kutoa na kupokea huduma – Simbachawane
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Kibakwe, Mhe. George Simbachawene amewataka viongozi na wananchi kuzingatia Sheria za nchi katika kutoa na kupokea huduma. Simbachawene ametoa kauli…
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Mkunda apokea ujumbe wa Jeshi la China
Na Mwandishi Maalum, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ujumbe wa Makamanda walioongozana na meli ya matibabu kutoka Jeshi la Ukombozi la Watu wa China umemtembelea Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda ofisini kwake Upanga jijini Dar Es Salaam…
Wanasayansi wagundua pango la makazi mwezini
Kwa mara ya kwanza wanasayansi wamegundua pango la makazi mwezini. Pango hilo lenye kina cha mita 100, linaweza kuwa mahali pazuri kwa wanadamu kujenga makazi ya kudumu. “Ni moja tu kati ya mamia ya mapango yaliyofichwa katika ulimwengu wa chini…
Auawa katika maandamano ya kumtaka rais wa Kenya kuondoka madarakani
Waandamanaji wanaoipinga Serikali nchini Kenya walirejea barabarani wakiongeza madai ya kumtaka Rais William Ruto ajiuzulu licha ya mabadiliko yake ya hivi majuzi. Mwanamume mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi wakati wa makabiliano kati ya waandamanaji na vikosi vya usalama viungani mwa…





