Latest Posts
Jeshi la Polisi kuchunguza tuhuma unyanyasaji raia
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma limesema linachunguza tuhuma zinazoelekezwa dhidi ya vijana wake kudaiwa kukiuka taratibu za kukamata watuhumiwa wa makosa mbalimbali ikiwemo kuwapa vipigo na unyanyasaji wa kijinsia. Hatua hiyo imekuja kufuatia kuwepo kwa malalamiko…
Waziri Mazrui azungumzia hali ya malaria Zanzibar
Na Imani Mtuma, Maelezo, JamhuriMedia, Zanzibar Waziri wa Afya Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui amewataka wananchi kuimarisha usafi katika maeneo yao ili kuondoa mazalia ya mbu wanaosababisha ugonjwa wa malaria. Akizungumza na waandishi wa habari huko ofisini kwake Mnazimmoja Mjini Unguja…
Waandishi wa habari watakiwa kumsaidia Rais Samia
Waandishi wa habari wametakiwa kumsaidia Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya muungano Tanzania Samia Suluhu Hasan juu ya fedha anazozitoa kwaajili ya miradi. Hayo ameyasema Mwenyekiti mstafu wa CCM Mkoa wa Mara Samweli Keboye alipokuwa akizungumza na waamdishi wa habari. Keboye…
Malalamiko ya wananchi kuonea na askari yafika makao makuu
Na Mwandishi Wetu- Jeshi la Polisi, Dar es Salaam Jeshi la Polisi nchini limesema limeona taarifa katika baadhi ya mitaandao ya kijamii ya kijamii zikionyesha taarifa za Wananchi ambao wanalalamika kufanyiwa vitendo ambavyo ni kinyume cha sheria na haki za…
MSD yang’ara Temeke
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bohari Kuu ya Dawa nchini (MSD) imetambuliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania kama Mlipa Kodi Bora Mkoa wa Kikodi Temeke. Akizungumza na JAMHURI ofisini kwake hivi karibuni, Kaimu Mkurugenzi wa Fedha wa MSD,…
Mgao wa umeme kumalizika ifikapo Januari 2024
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mpwapwa Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Mha.Felchesmi Mramba amesema kuwa tatizo la mgao wa umeme litakwisha ifikapo Januari mwaka 2024 baada ya mtambo mmoja wa kuzalisha umeme kutoka bwawa la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP) kuanza majaribio…