JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais wa Mabunge Duniani Dk Tulia akutana na Balozi wa Norway nchini

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Norway nchini Tanzania Mhe. Tine Tonnes Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo…

TAWA yapokea meli ya watalii zaidi ya 200 Kilwa Kisiwani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilwa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA leo Aprili 24, 2024 imepokea meli ya watalii wapatao 230 kutoka Mataifa mbalimbali Duniani waliofika katika Hifadhi ya Urithi wa utamaduni wa Dunia ya Magofu ya Kilwa…

Prof. Ikingura aongoza kikao cha 18 bodi ya GST

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Jiolojia ya Utafiti wa Madini Tanzania (GST) Prof. Justinian Ikingura amekiongoza Kikao cha kawaida cha 18 cha Bodi hiyo kwa ajili ya kupitia taarifa ya utekelezaji wa Taasisi hiyo kwa…

Waziri Mavunde awataka watumishi GST kuchapa kazi

GST kujenga Maabara ya Kisasa jijini Dodoma GST ni Moyo wa Sekta ya Madini Kufanya Utafiti wa kina kufikia asilimia 50 Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Madini Mhe.Anthony Mavunde amewataka Watumishi wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa…

Nchimbi afurahishwa mabalozi kuitangaza nchi,wakamilisha warsha ya siku nne Kibaha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kibaha Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewatembelea Mabalozi wa Tanzania wanaoshiriki warsha ya siku 4 ambayo imekamilika mjini Kibaha leo Aprili 24, 2024 kwa kufikia makubaliano mbalimbali ambayo yanalenga kuipaisha diplomasia ya Tanzania…