Latest Posts
Waziri Silaa apania kumaliza migogoro ya ardhi Jiji la Dodoma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAZIRI Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amesema Wizara yake itahakikisha kero zote za migogoro ya ardhi zinakwisha katika Jijini la Dodoma ikiwa ni hatua muhimu ya utekelezaji rasmi maagizo ya Rais Dkt….
Biteko ashiriki mazishi ya kaka wa Waziri Mkuu Majaliwa
Asisitiza Watanzania wanaupendo wa dhati kwake #Waziri Mkuu Majaliwa awashukuru Watanzania kwa kumfariji Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameungana na Viongozi mbalimbali wa kitaifa na Watanzania kwa kutoa salamu za pole kwa Waziri Mkuu…
Mkuu wa operesheni Kikosi cha Usalama Barabarani atoa tahadhari wa madereva pikipiki Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKUU wa operesheni kikosi cha usalama barabarani Tanzania ,Kamishina Msaidizi wa Polisi Nassoro Sisiwaya ametoa onyo kwa madereva pikipiki wanaopakia mishikaki ,kufanya mbwembwe barabarani na kuacha mara moja kupita katika makutano ya barabara bila kuchukua…