Latest Posts
Watafiti watakiwa kuzingatia sheria za kufanya tafiti za afya
Na WAF – Dar Es Salaam Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amewataka watafiti wote nchini kuzingatia sheria na kanuni za tafiti za Afya ikiwemo kupata kibali kutoka NIMR pamoja na kuzingatia maslahi ya Taifa. Waziri Ummy ametoa agizo hilo leo…
NEMC latoa siku 90 kwa hospitali, taasisi kuweka miundombinu sahihi ya kuchoma taka
Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa siku 90 kwa Hospitali na taasisi zote za afya kuhakikisha wanaweka miundombinu sahihi ya kuhifadhi na kuteketeza taka zitokanazo na huduma ya afya kwa kuzingatia matakwa ya sheria ya…
Halmashauri Bagamoyo kujenga jengo la utawala litakalogharimu bil.6.2- DED Selenda
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo, inatarajia kujenga jengo la Utawala lenye gharofa mbili, eneo la Ukuni kata ya Dunda, Jengo ambalo litagharimu kiasi cha sh.bilioni 6.2 hadi kukamilika kwake. Ujenzi huo utakuwa wa awamu mbili…
DCEA yakamata kilo milioni moja dawa za kulevya
Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Kudhibiti na Kupamba na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola imefanikisha kukamata jumla ya kilogramu milioni 1.96 za dawa za kulevya mwaka 2023. Katika ukamataji huo, watuhumiwa 10,522…
RC Serukamba awashauri waandishi wa habari kuandika habari zilizo na usahihi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Waandishi wa habari nchini wameshauriwa kuripoti habari zilizo sahihi ili kuepuka taharuki ikiwemo suala la kuripoti habari za dawa na vifaa tiba ambalo lipo chini ya Mamlaka ya dawa na vifaa tiba nchini (TMDA). Hayo…
USAID, JET wadhamiria kupunguza migongano ya binadamu na wanyamapori, waandaa mdahalo
Na Stella Aron, JamhuriMedia,Dar es Salaam Imeelezwa kuwa ipo haja ya wananchi kuendelea kuelimishwa kuhusiana na umuhimu wa tembo ili kusaidia kulindwa kwa shoroba ambazo zina fursa nyingi kwa jamii ikiwa ni pamoja na kuwainua kiuchumi. Akizungumza wakati wa mdahalo…





