JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia atoa bilioni 7 kujenga shule mpya za msingi 12 Ruvuma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi bilioni 7.2 kupitia mradi wa BOOST kujenga shule 12 mpya za msingi na miundombinu mbalimbali katika shule 44 mkoani Ruvuma. Mkuu wa Mkoa…

Trump huenda akapambana na Joe Biden kinyang’anyiro cha urais

Mahakama ya Juu nchini Marekani imeamua kuwa Colorado haiwezi kumuengua Donald Trump kwenye mchujo wake wa urais wa chama cha Republican. Jimbo la Colorado lilimzuia Trump kushiriki kura ya jimbo hilo mnamo Desemba, ikinukuu kifungu cha uasi katika Katiba na…

Rais Samia ahutubia mkutano wa mawaziri wa Sheria wa nchi wanachama Jumuiya ya Madola Zanzibar

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola Patricia Scotland wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola uliofanyika katika Hoteli ya…

Naibu Waziri Pinda awatuliza wananchi mgogoro wa mashamba Babati

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Babati Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe, Geophrey Pinda amewatuliza wananchi wa vijiji vya Kimara na Kiru Dick vilivyopo halmashauri ya Babati mkoa wa Manyara kufuatia mgogoro wao na wawekezaji wa mashamba….

Bruno na Singida FG ndio basi tena

Na Isri Mohamed Kiungo wa Brazil anayekipiga klabu ya Singida Fountain Gate, Bruno Barroso amethibitisha kuachana na klabu hiyo kwa makubaliano ya pande zote mbili kuanzia leo Machi 4, 2024. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Bruno amepost barua yenye ujumbe…