Latest Posts
Wagonjwa wanne waliopandikizwa figo Mloganzila waruhusiwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila kwa mara nyingine kwa mafaniko makubwa kwa kushirikiana na Korea International Foundational for Health Care na Africa Future Foundation imefanya upandikizaji wa figo kwa wagonjwa wanne ambao figo…
Biteko : Changamoto ya umeme inakwenda kupungua hatua kwa hatua
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Kituo cha Kupoozea Umeme cha Chalinze kimefikia asilimia 84.3 ambapo ifikapo Desemba mitambo itawashwa. Aidha, ujenzi wa njia ya kusafirishia umeme kutoka kituo hicho hadi Bwawa la Mwalimu Nyerere ujenzi wake umefikia asilimia 99. Akiwa…
Serikali kuongeza wodi maalum 100 za uangalizi wa watoto njiti
Na WAF Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya katika kuboresha Huduma za afya nchini imejenga wodi maalum za uangalizi wa watoto njiti 128 na kwa mwaka huu imepanga imepanga kujenga wodi nyingine 100 ili kuhakikisha vifo vya watoto wachanga vinapungua…
NMB yatoa madawati 200, viti, meza za mil. 25/- Kibaha
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali kusimamia upatikanaji wa elimu bora na mazingira rafili ya utoaji huduma hiyo mijini na vijijini, Benki ya NMB imetoa msaada wa madawati, viti na meza kwa shule…
Mafanikio ya ziara ya Rais Samia aliyofanya Doha nchini Qatar na New Delhi India
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Zuhura Yunus akizungumza na kuwaelezea Waandishi wa Habari kuhusu Mafanikio ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aliyofanya Doha nchini Qatar na New Delhi India. Mkutano huo…
Wananchi watakiwa kulinda miundombinu ya reli
Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora Jamii imetakiwa kuwa mstari wa mbele kulinda usalama wa miundombinu ya reli inayoendelea kujengwa na serikali kwa mabilioni ya fedha ili kuepusha uharibifu unaofanywa na watu wasio na nia njema. Wito huo umetolewa jana na…