JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Silaa: Pisheni eneo la chanzo cha maji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida WANANCHI wa Mwankoko katika Manispaa ya Singida wanaotakiwa kupisha mradi wa chanzo cha maji cha Mwankoko wametakiwa kuridhia fidia waliyopewa na kupisha eneo la chanzo hicho kinachotumika na wakazi wa mji wa Singida. Agizo hilo…

Waziri Mhagama, azindua muongozo wa uwekezaji Manyara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama ametoa wito kwa watendaji wa Serikali; kujipanga na kuhakikisha Muongozo wa uwekezaji kwa Mkoa Manyara unawafikia wananchi wote ili kufanya kazi kwa…

Ndumbo : Wadau washirikiane na Serikali kusaidia changamoto za kielimu

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Mkoani Pwani Mwalimu Kassim Ndumbo ametoa wito kwa taasisi na mashirika binafsi kushirikiana na serikali katika masuala mbalimbali ya kijamii yakiwemo afya na elimu. Ndumbo ameyasema hayo…

EWURA yatoa onyo kwa wamiliki wa vituo vya mafuta, yavifungia vituo tisa vya mafuta

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imevifungia vituo viwili vya mafuta kwa muda wa miezi sita kwa kosa la kuhodhi mafuta ili kujipatia maslahi haramu ya biashara ikiwemo faida…

Kituo cha umahiri afya ya akili kujengwa Vikuruti

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) itajenga kituo cha umahiri cha kutoa huduma za utengamao kwa wagonjwa wa Afya ya Akili huko Kijiji cha Vikuruti kikichopo Kata ya Chamazi- Manispaa ya Temeke. Hayo yamesemwa leo Oktoba 19, 2023 na Mkurugenzi Mtendaji…

Msigwa asisitiza ubunifu na ulinzi wa maadili ya Mtanzania

 Na Eleuteri Mangi, JamhuriMedia, Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Gerson Msigwa, amekutana na watumishi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni na Sanaa ambapo amewasisitiza watumishi hao wawe wabunifu na wachukue hatua kulinda maadili ya Mtanzania.  Katibu…