JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

MSD yashauriwa kuweka mikakati endelevu ya upatikanaji bidhaa za afya

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Pwani (RAS), Salvera Salvatory ameishauri Bohari ya Dawa (MSD) kuwa na mikakati endelevu ya kuboresha upatikanaji wa bidhaa za afya ili kuondoa malalamiko ambayo kwa kiasi kikubwa yameanza kupungua. Salvatory ameyasema hayo wakati akifungua mkutano…

Msataafu Kikwete awapa kongole Muhimbili

Na mwandishi wetu, JAMHURI MEDIA, Dar es salaam Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameipongeza Hospitali ya Taifa Muhimbili Upanga na Mloganzila kwa huduma nzuri wanazotoa kwa jamii na kuwataka…

Majaliwa:Kiswahili fursa ya kiuchumi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania kuzungumza na kusoma lugha ya Kiswahili kwa kuwa lugha hiyo ni fursa ya kiuchumi Duniani. “Kuwa mzawa wa lugha ya kiswahili pekee, unakuwa hujapata fursa ya  kunufaika nacho, muhimu ni kuendelea kujifunza…

DKT. Mwinyi kufungua maadhimisho ya kupinga rushwa barani Afrika

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Husein Ali Mwinyi anatarajia kuzindua Maadhimisho ya siku ya mapambano dhidi ya Rushwa barani Afrika Mkoani Arusha. Akiongea na vyombo vya Habari Jijini Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongela…