Latest Posts
Chalamila ataka kasi ya usambazaji majisafi Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Septemba 22, 2023 katika muendelezo wa ziara yake Wilaya ya Kigamboni kukagua ufanisi wa uzalishaji wa maji Safi katika Mkoa huo, jukumu linalotekelezwa na Mamlaka…
Serikali yakabidhi vifaa tiba vya mil.500/- Hospitali ya Wilaya ya Kivule
Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD), imekabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 500 kwa hospitali ya Wilaya ya Ilala (Kivule), lengo ni kuboresha hali ya utoaji huduma wilayani humo. Vifaa hivyo ni pamoja na Vitanda…
Rais Samia aelekeza wananchi waliovamia Hifadhi Bwawa la Mindu kupatiwa viwanja
Siaa atatua migogoro ya ardhi Morogoro hadi usiku Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameelekeza wananchi 357 wa kata ya Mindu mkoani Morogoro waliovamia eneo la hifadhi…
Chalamila atembelea kiwanda cha kisasa cha kuzalisha vifaa vya umeme Kigamboni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Septemba 22,2023 ametembelea kiwanda cha Kisasa cha Elsewedy kinachozalisha vifaa vya Umeme kilichoko Kisarawe II Kigamboni Jijini Dar es Salaam. lbert Chalamila akiwa katika kiwanda…
Mwandishi wa JAMHURI ang’ara tuzo za TMDA
Na Mwandishi wetu Jamhuri Media Dar es Salaam Antony Mayunga ambaye nimwandishi wa habari wa gazeti la JAMHURI ameshinda tuzo ya hamasa kwa waandishi wa habari wanaoandika habari kuhusu, utoaji wa elimu kwa jamii juu ya udhibiti wa ubora usalama…