JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Basi la Abood lagonga Noah na kuua wawili

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamtafuta dereva wa gari namba T904 DKY Kampuni ya Abood kwa kosa la kugonga gari aina ya Noah lenye namba za usajili T828 DNB na  kusababisha ajali  iliyouwa watu wawili na wengine wawili kujeruhiwa….

Hospitali Kuu ya Jeshi la Polisi yanufaika na mafunzo kutoka Marekani

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi- Dar es Salaam Hospitali Kuu ya Jeshi la Polisi iliyopo Wilaya ya Temeke Barabara ya Kilwa Mkoa wa Dar es Salaam itanufanika na mafunzo ambayo yatatolewa kwa muda wa siku mbili na shirika…

NIC lapata mageuzi makubwa ndani ya miaka mitatu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Shirika la Bima la Taifa (NIC) limeelezea mageuzi yaliyofanyika ndani ya miaka mitatu katika shirika hilo na kusababisha litoke kwenye kuzalisha hasara na kuzalisha faida. Katika kipindi cha mwaka 2019/20 NIC ilikua inazalisha faida ya Sh…

Taasisi ya Miriam Odemba Foundation kujenga matundu ya vyoo 40 S/M Mwendapole Kibaha

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Taasisi ya Miriam Odemba ‘Miriam Odemba Foundation’ yenye makao yake Jijini Dar-eS-Salaam inatarajia kujenga matundu zaidi ya 40 kwenye shule ya Msingi Mwendapole pamoja na kukarabati jengo chakavu linalosomewa na watoto wa elimu ya awali…

Rais Samia: Hakuna aliye juu ya sheria

Na Immaculate Makilika, JamhuriMedia, MAELEZO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa falsafa zake za maridhiano, ustahimilivu, mabadiliko na ujenzi mpya amezichukua kama msingi unaomuongoza katika kuongoza nchi ili isonge mbele kama Taifa kwa…

DED Rufiji-Kamati za ujenzi zilipe mafundi wa miradi ya Serikali kwa wakati

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji, Michael Gwimile ametaka kamati za ujenzi kuwalipa kwa wakati mafundi wa miradi mbalimbali ya maendeleo . Ameyasema hayo wakati akikagua miradi inayotekelezwa na Serikali ikiwemo majengo ya…