Basi la Arusha Express, Laua Wanne , na Kujeruhi 11
Watu wanne wamefariki dunia na wengine 11 kujeruhiwa ambapo watano kati yao hali zao ni mbaya baada ya kutokea ajali ya basi la Kampuni ya Arusha Express lenye namba za usajili T 750 BYQ katika eneo la Bonga, Babati mkoani Manyara leo Jumatatu, Oktoba 8, 2018. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Augustino Senga amesema…