Latest Posts
Tani 9.93 za dawa za kulevya zakamatwa nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Januari na Februari 2026, Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imekamata tani 9.93 za dawa za kulevya aina mbalimbali, chupa 1,795 za dawa tiba zenye asili ya kulevya na kuteketeza…
Pcoi Lohi Zakaria, jike la mbegu lililokabiliana uso kwa uso na faru Hifadhi ya Ngorongoro
Pcoi Lohi Zakari anajulikana kwa jina la Utani Profesa kutokana na uwezo mkubwa wa kujua vitu vingi katika hifadhi ya Ngorongoro katika utumishi wake wa miaka 34, ni mwanamke shupavu kuelekea siku ya wanawake tarehe 8 Machi, 2026 Tukio la…
Mahenge Spinel; fursa ya uwekezaji wa kipekee katika soko la vituo duniani
Spinel ni miongoni mwa madini ya vito yenye thamani kubwa sana duniani, yanayoendelea kupata umaarufu mkubwa katika masoko ya kimataifa kutokana na ubora wake wa kipekee, rangi adimu na uimara wa hali ya juu. Tanzania ni miongoni mwa nchi chache…
Mradi wa pamoja kukuza uchumi wa wanawake na kuimarisha mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia
Mradi wa Kukuza Usawa wa Kijinsia Tanzania (PAMOJA) unaotarajiwa kuzinduliwa rasmi Machi 08, 2026 mkoani Geita na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima utaimarisha fursa za kiuchumi kwa wanawake wa vijijini na…
Pwani yazidi kuendeleza mafanikio sekta za umma na uwekezaji – Mnyema
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkoa wa Pwani unaendelea kuonyesha mafanikio makubwa katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo na sekta mbalimbali, amesema Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi wa Mkoa huo, Pili Mnyema, ambaye pia ni Katibu Tawala wa Mkoa. Mnyema…
Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Handeni Mji kuzinduliwa Machi 5
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Handeni KATIKA kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Halmashauri ya Mji Handeni imejipanga kutekeleza shughuli mbalimbali ikiwamo uzinduzi wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi. Akizungumza kuhusu maandalizi ya maadhimisho hayo, Mkurugenzi wa Halmashauri…





