JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia kutembelea Simiyu na Mwanza, ashiriki Tamasha la Utamaduni Bulabo

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi katika mikoa ya Simiyu na Mwanza kuanzia tarehe 15 hadi 21 Juni mwaka huu ambao atakagua miradi ya maendeleo, kabla ya…

Kauli ya Chatanda Mkuranga yazua jambo

*Wana CCM wahoji kama kuna haja ya Kura za Maoni. *Ni baada ya kuwataka wasihangaike na wengine zaidi ya Ulega kwenye ubunge. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mkuranga Mjumbe wa Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi( NEC) Taifa na Mwenyekiti wa…

Usawa wa kijinsia ni kipaumbele cha Serikali – Dk Jingu

Na WMJJWM, Dodoma Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu amesema Serikali inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imezingatia masuala ya Usawa wa kijinsia katika nyanja mbalimbali ikiwa juhudi za Serikali katika…

Bilioni 3 za umwagiliaji kunufaisha zaidi ya wakulima 490 skimu ya Mkotamo Ruvuma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma MKUU WA WILAYA ya Tunduru Simon Chacha,amepongeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji(NIRC), kwa uwekezaji wa zaidi ya shilingi bilioni 3 kwaajili ya ujenzi wa miundo mbinu ya Umwagiliaji katika skimu ya Mkotamo, wilayani Tunduru Mradi…

Sababu watu kujiua hizi hapa

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wimbi kubwa la watu kuamua kujitoa uhai lililoikumba jamii katika siku za hivi karibuni linadaiwa kutosababishwa na matatizo ya afya ya akili; JAMHURI linaripoti. Utafiti wa Hospitali ya Afya ya Akili ya Milembe…

Tujipange, Tumalize Uchaguzi Mkuu, tuanze mchakato wa Katiba Mpya

Askofu Mkuu Nkwande: “Mahangaiko na taharuki! Watu hawajui, hivi Tanzania tuliyokuwa nayo tutaendelea kuwa nayo?” Butiku: “Tumalize Uchaguzi Mkuu, tuanze mchakato wa Katiba mpya huku tukijadili hali ilivyo nchini kwa sasa.” Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Dar es Salaam Askofu Mkuu…