Latest Posts
Mkurugenzi Mkuu REA awafunda wahandisi wa mikoa
📌Asisitiza kuimarisha Mawasiliano na Uhusiano 📌Awakumbusha kuzingatia Sheria, Kanuni na Miongozo 📌Awasisitiza kushirikiana kwa karibu na Jamii eneo la Mradi 📌Awasisitiza kushirikiana kwa karibu na Taasisi zingine za Serikali 📌Watakiwa kufanya kazi kwa uharaka na usahihi 📌Kumsimamia Mkandarasi kutoa kipaumbele…
Uwekezaji mkubwa wa Serikali kwa GST kuchochea maendeleo ya sekta ya madini
*Rais Samia aonesha utashi mkubwa kuendeleza sekta ya madini *Ujenzi wa maabara za kisasa kuleta mapinduzi ya huduma Barani Afrika *Wataalamu wa GST kujengewa uwezo *Kamati yashauri GST kujengewa uwezo zaidi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali ya Awamu ya…
TARURA Arusha yatakiwa kuanisha maeneo yenye changamoto za barabara
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Arusha imeagizwa kuanisha maeneo yote yenye changamoto za barabara katika maandalizi ya bajeti ya mwaka 2026/27 ili kuondoa kero zinazowakabili wananchi hususan miundombinu ya barabara ili kuweza kusafirisha mazao na…
Makonda akutana na Rais wa CAF jijini Rabat
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Paul Christian Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Kandanda Barani Afrika (CAF) Dkt. Patrice Motsepe Jijini Rabat, Morocco na kukabidhi barua kutoka kwa Rais Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
Watuhumiwa wa utekaji na uporaji pikipiki wanaswa
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora JESHI la Polisi Mkoani Tabora linawashikiria watu sita kwa tuhuma za kuteka na kuua mwendesha bodaboda Hamis Nchambi (27) msukuma, mkazi wa Kata ya Mbugani katika halmashauri ya manispaa ya Tabora. Kaimu Kamanda wa Polisi…





