JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Mkuu alivyopotoshwa Loliondo

Desemba 15, 2016 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alifanya ziara katika Wilaya ya Ngorongoro. Safari hii ililenga, pamoja na mambo mengine, kupata suluhu ya migogoro ya ardhi inayoendelea kwa miaka mingi sasa. Migogoro katika Tarafa ya Loliondo hailengi kitu kingine, isipokuwa…

ATCL yakata jeuri ya Fastjet

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imeokoa wasafiri wanaotumia ndege nchini kwa kumaliza utaratibu wa kutoa huduma mbovu, ulioanzishwa na mashirika binafsi, uchunguzi wa JAMHURI umebaini. ATCL imewafuta machozi Watanzania na wageni wanaotumia usafiri wa ndege nchini, kutokana na unyanyasaji mkubwa…

Ndugu Rais tulibipu tukaingia, na sasa tunabipu kutoka

Ndugu Rais, kila anayebipu huwa hajajipanga cha kusema mpaka atakapopigiwa. Kama uliibipu Ikulu ulikuwa hujajipanga nini cha kuifanyia Ikulu endapo ungeipata. Hivyo, busara baada ya kuipata Ikulu ilikuwa ni kutulia.  Kujinyenyekesha kwa Muumba wako, hakika naye angekupa haja ya moyo…

Adha ya ‘Double allocation’ (3)

H adithi hii ya kale inaonesha mambo mawili muhimu kwanza kusikiliza pande zote mbili za kesi papo hapo wote wakiwa hapo, na pili kutoa uamuzi kwa kutumia hekima na busara. Hapakuwa na kitu kama mention wala kitu vielelezo (exhibits) wala…

Si kila msaada lazima upokewe

Ndugu zangu waandishi wa habari katika Mkoa wa Arusha, wameahidiwa ‘zawadi’ ya kufungia mwaka 2016 na kufungulia mwaka 2017. Wameahidiwa msaada wa pikipiki mbili!  Sina hakika, ni pikipiki za aina gani, lakini kama ni miongoni mwa hizi zinazosambazwa na uongozi…

Yah: Naota ndoto ya siku tano…

Siku ya kwanza naamka asubuhi naona jua limechomoza, nimechoka akili na mwili kwa kazi ngumu na nzito kwa maendeleo ya kaya yangu. Nawaangalia wanangu na Mama Chanja hali kadhalika wamesawajika kwa kilichotokea. Hakuna uchawi wala mazingaombwe ni uwajibikaji wa nguvu…