JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Uchaguzi mmeukataa, mnautamani, mkoje?

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ndugu zangu Watanzania, leo nataka kuandika mada ngumu kidogo. Niseme wazi tu kuwa nimefanya kazi hii ya uandishi kwa miaka 32 sasa. Nimeuona, nimeuandika, na nimeuishi uchaguzi. Nimeshuhudia mabadiliko mengi tangu uchaguzi wa…

Dk Mpango : Mwalimu Nyerere ni kielelezo na alama isiyofutika

Mpango azima Mwenge na Kuzindua Kitabu chake Na Ruja Masewa, JamhuriMedia, Mbeya Makamu wa Rais Dk. Philipo Mpango amezima rasmi Mwenge wa Uhuru na Kuzindua Kitabu chake cha Historia ya Miaka 61 ya Mbio hizo yaliyofanyika mkoani hapa jana Oktoba…

Wananchi Mkalama washangilia miradi ya uchimbaji visima vya umwaggiliaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Wakazi wa Kijiji cha Miganga wilayani Mkalama, mkoani Singida, wameishukuru Serikali kwa neema ya miradi ya uchimbaji wa visima vya Umwagiliaji na kuahidi kulinda miundombinu hiyo kwa maslahi ya vizazi vijavyo. Wamesema kwa sasa wana…

Wanne mbaroni kuendesha televisheni mtandao bila leseni

Na Mwandishi wlWetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam kwa kushirikiana na Mamlakazingine za kisheria 3 ,Oktoba hadi 10 , 2025 limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wanne kwa tuhuma za kuendesha “Televisheni mtandao” bila kuwa na leseni. Waliokamatwa…

Katibu Mkuu Nishati aridhishwa na kasi ya utekelezaji mradi wa umeme jua Kishapu

📌 Utekelezaji wafikia asilimia 80.4 📌 Awamu ya kwanza kukamilika Desemba 2025 📌 Mhandisi Mramba asema ni jitihada za Rais Samia kuhakikisha wananchi wanapata nishati safi, salama na nafuu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga, Serikali kupitia Wizara ya Nishati imeeleza…

Dk.Mwinyi : Tutaendelea kugharamia vifaa saidizi kwa watu wenye ulemavu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kikwajuni Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuimarisha uwezeshaji wa watu wenye ulemavu kiuchumi kupitia ajira, elimu na upatikanaji wa vifaa saidizi endapo atapewa ridhaa ya kuendelea…