JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yaendelea kuimarisha huduma za ustawi kwa wazee

Na Jackline Minja – WMJJWMDar es Salaam Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kudumisha huduma bora kwa wazee kwa kuhakikisha kundi hilo linapata huduma…

Tanzania yazindua mradi wa dunia kukabiliana na magonjwa ya mlipuko na dharura za kiafya

๐Ÿ“Œ Dkt. Biteko ataka utekelezaji wa kuleta matokeo chanya ๐Ÿ“Œ Mradi kugharimu Dola za Kimarekani milioni 38.7 ๐Ÿ“Œ WHO, FAO, UNICEF na Pandemic Fund zaipongeza Tanzania Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na…

ALAF yatoa fursa zaidi kwa wanawake katika uongozi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kampuni ya ALAF Limited, inayoongoza katika suluhisho mbalimbali za ujenzi, imejizatiti kuhakikisha inawajengea wanawake uwezo zaidi wa kushika nafasi za juu za uongoziย  katika kampuni hiyo. Akizungumza mwishoni mwa wiki wakati wa mahafali…

Karamagi amshukuru Samia ukarabati bandari

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media-Muleba Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, Nazir Karamagi amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za ukarabati mkubwa uliofanywa katika bandari za Bukoba na Kemondo kuwa utasaidia kuondoa changamoto za usafiri…

Samia apokelewa na maelfu ya wananachi Muleba

  Sehemu ya Wananchi wa Muleba mkoani Kagera waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 15…

Raila Odinga afariki, atakumbukwa kwa kupigania uhuru wa kidemokrasia

Aliyekuwa waziri mkuu nchini Kenya Raila Odinga amefariki akiwa na umri wa miaka 80. Raila amefariki wakati akifanyiwa matibabu katika hospitali moja nchini India kulingana na duru za familia. Magazeti ya India Mathrubhumi na The Hindu yaliripoti habari hiyo kwa…