Latest Posts
Serikali kuzifanyia ukarabati shule kongwe zilizochakaa
OR – TAMISEMI Serikali kupitia bajeti yake ya mwaka 2025/2026 inakusudia kuzifanyia ukarabati shule zote kongwe za msingi na sekondari zilizochakaa ili kuzirejesha katika mwonekano wake wa awali. Kauli hiyo imetolewa leo Juni 04, 2025 bungeni Jijini Dodoma na Naibu…
Mahakama ya Rufani yatumbilia mbali rufaa ya Mwananchi, yatakiwa kumlipa Mchechu bil. 2.5/-
Na Mwandishi wetu- Mahakama ya Rufani, Dodoma Mahakama ya Rufani ya Tanzania leo imetoa uamuzi wake katika Rufaa Namba 658 ya mwaka 2023, iliyowasilishwa na Mwananchi Communications Ltd pamoja na Mhariri wa The Citizen Newspaper, dhidi ya Nehemia Kyando Mchechu,…
Waziri Kombo anadai fursa za uwekezaji Tanzania nchini Kosovo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewakaribisha wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Kosovo kuja kuwekeza nchini katika maeno matano ya kimkakati ambayo ni kilimo, madini,teknolojia, uhifadhi wa mazao ya nafaka na utalii. Me….
Kiwanda cha kusafisha na kuongeza thamani madini adimu kujengwa Ngwala, Songwe
▪️Uendelezaji wa Mradi kuanza rasmi Disemba 2025 ▪️Ni mradi wa Madini Adimu utakaogharimu Bilioni 771 ▪️Waziri Mavunde azindua zoezi la ulipwaji fidia wananchi 192 ▪️Wananchi wamshukuru Rais Samia kwa mazingira ya uwekezaji ▪️Serikali kuvuna mapato ya zaidi ya Trilioni 12…
Dk Jingu ataka elimu ya stadi ya maisha iguse jamii
WMJJWM- Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu, ametaka huduma na elimu ya stadi za maisha zinazotolewa katika Makao ya Taifa ya kulelea watoto Kikombo Dodoma kufikia Jamii. Dkt. Jingu amesema…