JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk. Shein akomboa elimu Z’bar

Ni jambo lisilokuwa na ubishi kuwa elimu ndicho chanzo muhimu kabisa kitakachomletea maendeleo na ukombozi wa kweli wa  mwanadamu, elimu inawatoa wanadamu katika gugu la ujinga. Umuhimu wa elimu umeelezwa kwa kina katika vitabu ya dini na katika vitabu vingine,…

Mgogoro wa ardhi Mtwara

Mgogoro wa ardhi mkoani Mtwara umechukua sura mpya baada ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa huo, Albert Mbila, kujitoa lawamani kwa kusema suala hilo halikuwa na mkono wake.  Mbila anatajwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ufuatiliaji wa Mgogoro wa Ardhi…

Uhuru wa Habari uheshimiwe

Kesho, Mei 3 waandishi wa habari Tanzania wanaungana na wenzao duniani kuadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani. Ilianza kuadhimishwa rasmi na Umoja wa Mataifa (UN) kutokana na tamko la Windhoek, lililotolewa na waandishi wa Afrika kutetea uhuru…

ACP Awadhi anaipa heshima polisi

Wiki iliyopita kulitokea sintofahamu kati ya dereva wa gari la Gazeti la JAMHURI na mmoja wa matrafiki. Baada ya tukio hilo nilibaini chembe chembe za uonevu na nikaamua kuchukua hatua za kisheria kupitia mkondo wa utawala dhidi ya askari aliyekamata…

‘Woga ndio silaha dhaifu kuliko zote’

Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi, amezungumza jambo la maana sana. Amewataka wananchi wasilalame tu, badala yake wachukue hatua dhidi ya ukiukwaji wa haki pale unapojitokeza. Amewataka watumie vyombo kama Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora…

Ndugu Rais wengine tuombe tusije kukumbukwa

Ndugu Rais niliugua sana kifuani mwangu nilipokutafuta nami nisikuone siku ile Watanzania tulipokuwa tunamuaga Sir George Clement Kahama  katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Uliikosa fursa ya kuzisikia busara na hekima za Rais Mstaafu Ali…