Latest Posts
Mawakili Wapya 80 Waapishwa
ZAIDI ya mawakili 80 wamehitimu mafunzo na kuapishwa kuanza kazi ya kuhudumu kama watetezi wa kisheria katika mahakama mbalimbali hapa nchini huku Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof Ibrahim Juma akitia neno juu ya kuhakikisha wanatumia taaluma yao kusaidia jamii na…
Haya Hapa Magazeti ya Leo Disemba 15, 2017
Kam upo mbali na meza za magazeti mtaani kwako basi husipitwe na kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo Ijumaa Disemba, 15, 2017 nimekuekea hapa.
Haya Hapa Magazeti ya Leo Disemba 14, 2017
Kam upo mbali na meza za magazeti mtaani kwako basi husipitwe na kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo Alhamisi Disemba, 14, 2017 nimekuekea hapa.
Tujenge Uzalendo Kupitia Uchumi
Wiki iliyopita nchi yetu imesherehekea miaka 56 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara). Wakati tunapambana kupata uhuru, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyeongoza harakati hizo, alisema nchi yetu ilikuwa inapambana na maadui watatu; ujinga, maradhi na umaskini. Na alisema ili nchi…
Simba Inahitaji Zaidi ya Fedha
Mchezo wa soka unahitaji benchi la ufundi lenye watalamu wenye ueledi mkubwa wenye uwezo wa kuendana na mabadiliko ya soka kadri mda unavyobadilika. Wakizungumza na JAMHURI juu ya mabadiliko yaliyofikiwa na klabu ya Simba wachezaji wa zamani na watalamu wa…
Pochettino Matatani
Bundi ameanza kulia ndani ya klabu ya Tottenham ya London baada ya kujikuta ikisukumwa nje ya timu nne za juu (top 4) hadi kuangukia nafasi ya sita. Baada ya kupata ushindi dhidi ya klabu ya Real Madrid na ushindi wa…





