JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Jenista Mhagama atoa sifa lukuki kwa rais Dk Samia katika kampeni

Na Cresensia Kapinga, JamuhuriMedia, Songea Mgombea Ubunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Jimbo la Peramiho halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma, Jenista Mhagama ameendelea na mikutano ya Kampeni kukiombea kura za kishindo CCM ifikapo Oktoba 29 mwaka huu,huku…

Rais Dk Samia yupo tayari kufanya mambo makubwa kwa wenye ulemavu – Majaliwa

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan yupo tayari kuendelea kufanya mambo makubwa kwa watu wenye ulemavu ili kukuza ustawi wa jamii hiyo kwa kuwawezesha kushiriki katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo. Amesema hayo Oktoba 11, 2025…

Wizara ya Nishati yatumia madhimisho Siku ya ya Chakula Duniani kutoa elimu ya nishati safi ya kupikia

πŸ“Œ Wananchi wamiminika kupata elimu ya Nishati Safi ya Kupikia kwa njia ya vitendo πŸ“Œ RC Tanga afungua Maadhimisho; atoa pongezi kwa Wizara ya Nishati πŸ“Œ Ruzuku ya Serikali yawezesha majiko ya gesi ya kilo sita kuuzwa kwa sh. 17,500…

Kamati ya vibali vya ujenzi yaibua mapungufu katika ukaguzi wa kustukiza

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Vibali vya Ujenzi ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeanza rasmi utekelezaji wa majukumu yake kwa kufanya ukaguzi wa kustukiza katika maeneo mbalimbali ya Kata ya Gerezani, Kariakoo, ambapo…

Utafiti miamba bonde la Eyasi Wembere wathibitisha uwezekano wa upatikanaji mafuta

πŸ“Œ Dkt Mataragio akagua shughuli za utafiti na kutoa maelekezo kwa TPDC/AGS πŸ“Œ Awamu ya pili ya utafiti kukamilika Aprili 2026. πŸ“ŒAsilimia 90 ya wanaotekeleza mradi ni watanzania Utafiti unaofanyika katika mradi wa kimkakati wa Eyasi Wembere unaolenga kutafuta mafuta…