Latest Posts
BRELA kuimarisha urasimishaji na mifumo ya kidijitali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), yatakiwa kuongeza kasi ya urasimishaji wa biashara na kuimarisha mifumo ya kidijitali ili kuchochea ufanisi na ukuaji wa uchumi kwani BRELA ni lango kuu la uwekezaji nchini. Hayo…
Maafisa elimu wapewa mbinu kuimarisha miundombinu ya nishati safi ya kupikia shuleni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Maafisa Elimu nchini wametakiwa kushirikiana kwa karibu na wadau mbalimbali wakiwemo sekta binafsi, mashirika yasiyo ya kiserikali na jamii ili kuwekeza na kuimarisha miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika shule. Wito huo umetolewa Machi…
TPF NET Songwe yaonyesha upendo kwa mama mwenye watoto wenye mahitaji maalum, kuelekea Siku ya Wanawake Duniani
Na Mwandishi Wetu -Jeshi la Polisi Mtandao wa Polisi Wanawake Mkoa wa Songwe (TPF Net) kwa kushirikiana na wanawake wa majeshi mengine mkoani humo, wamemtembelea Bi. Enita Sinyinza, mkazi wa Kitongoji cha Hezya Kati, Kijiji cha Hezya, Kata ya Hezya,…
Wananchi waishukuru Serikali kukamilika daraja la Jema – Oldonyosambu
Miaka ya adha yafikia kikomo, usafirishaji wa mazao na huduma za kijamii sasa warahisishwa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ngorongoro Wananchi wa Kata ya Oldonyosambu, wilayani Ngorongoro, wameishukuru Serikali kwa kuwajengea daraja la mawe lenye urefu wa mita 45 katika Mto…
Katibu Mkuu Uwekezaji afanya ziara Ofisi ya Msajili wa Hazina
Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais – Uwekezaji, Dk. Fred Msemwa, leo Machi 4, 2026, ametembelea Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa ziara ya kujitambulisha kufuatia kuteuliwa kwake na Mheshimiwa Rais wa…
Makatibu wakuu SADC wapitia mpango wa maendeleo wa kanda, wabaini changamoto za utekelezaji
Kikao cha Makatibu Wakuu na Maafisa Waandamizi wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kupitia utekelezaji wa Mpango Mkakati Elekezi wa Maendeleo ya Kikanda (Regional Indicative Strategic Development Plan- RISDP) kimeanza leo tarehe 04 Machi 2026…





