JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bariadi yasimama Kadogosa akichukua fomu za ubunge

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu Shughuli katika miji midogo kadhaa iliyopo ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi zilisimama kwa muda wakati mteule wa kugpmbea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Bariadi Vijijini, Masanja Kadogosa, alipochukua fomu. Masanja…

Biteko achukua fomu kugombea Bukombe, ahimiza kampeni za kistaarabu

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Bukombe, Zedekiah Solomon Osan amemkabidhi fomu ya uteuzi wa kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Doto Mashaka…

Serikali yataka Mashirika ya Umma kuiga sekta binafsi kuongeza ufanisi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imeyataka Mashirika ya Umma kujifunza kutoka kwa sekta binafsi kuhusu namna bora ya kuendesha taasisi na hivyo kuongeza ufanisi wao. Wito huo ulitolewa Agosti 26, 2025, na Naibu Waziri Mkuu, Dk. Doto Biteko wakati…

Nyasa yazizima,John Nchimbi achukua fomu kugombea ubunge

-Mamia wamsindikiza kwa ngoma, vifijo na nderemo -Aaahidi kushirikiana na watia nia wote kuijenga Nyasa -Awataka Wananchi kuunga mkono juhudi za kuleta maendeleo Na Byarugaba Innocent, Nyasa DC Mapema leo Agosti 26, 2025 mgombea Ubunge Jimbo la Nyasa kupitia Chama…

Dkt. Asha-Rose Migiro akabidhiwa Ofisi kama Katibu Mkuu wa kwanza mwanamke

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Dkt. Asha-Rose Migiro amepokelewa rasmi katika Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)akiwa Katibu Mkuu huku akimefungua ukurasa mpya katika historia yake ya uongozi kwa kuwa Katibu Mkuu mpya Mwanamke. Ikumbukwe kuwa tangu kuanzishwa kwa CCM mwaka…