Latest Posts
Wanawake wanne, wanaume 12 wajitosa kumvaa Koka Jimbo la Kibaha Mjini
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MWENYEKITI wa Shirikisho la Watu wenye Ulemavu (SHIVYAWATA) Mkoa wa Pwani Tatu Kondo amechukua fomu ya Udiwani Vitimaalum Kibaha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Tatu amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa Jumuiya ya Umoja…
Dk Mpango aikaribisha Vietnam kiuchangamkia uwekezaji nchini
Na Mwandishi Maalum Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ameikaribisha Vietnam kuchangamkia fursa za uwekezaji nchini kama vile kilimo, viwanda vya nguo na viwanda vingine vya uzalishaji. Dk Mpango amesema hayo alipokutana na kuzungumza na Naibu Waziri Mkuu wa Vietnam,…
Bashungwa: Nimerudi nyumbani tena kuomba dhamira yenu ya kuleta maendeleo Karagwe
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Innocent Lugha Bashungwa, ametangaza rasmi nia ya kuendelea kulihudumia Taifa kupitia nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Karagwe kwa kuchukua na kurejesha fomu ya kugombea kupitia CCM. Tukio hilo…
Mkazi wa Magomeni ashinda gari Ford Ranger kupitia Kampeni ya Tembocard ni Shwaa ya CRDB
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKAZI wa Magomeni, Rahabu Mwambene, ameibuka mshindi wa gari aina ya Ford Ranger XLT katika droo ya tatu ya kampeni ya Tembocard ni Shwaa, iliyoandaliwa na Benki ya CRDB. Droo hiyo imefanyika ikiwa…
Watu 232 wapata huduma ya uchunguzi na matibabu moyo banda la JKCI Sabasaba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watu 232 wamepata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo kwa muda wa siku tatu katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) lililopo katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa…
Anitha Waitara aingia kinyang’anyiro cha ubunge Kivule, aahidi kutatua kero ya miundombinu
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Anitha Waitara, ametangaza nia ya kuwania ubunge wa Jimbo la Kivule katika Uchaguzi Mkuu ujao, akiahidi kushughulikia changamoto ya miundombinu ya barabara ambayo kwa muda mrefu imekuwa…