JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rushwa yazidi  kuporomoka na Kukosa Nafasi Ruvuma

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Ruvuma Katika kipindi kifupi cha miezi mitatu tu, Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma imeandika historia mpya ya uwajibikaji, uwazi na vita dhidi ya vitendo vya rushwa, ikiongozwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)…

CCM yatangaza vipaumbele tisa vya Ilani ya Uchaguzi 2025–2030

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza vipaumbele tisa vya Ilani yake ya Uchaguzi kwa mwaka 2025–2030, ambayo itatumika kunadi sera zake kwa wananchi katika Uchaguzi Mkuu ujao.  Ilani hiyo imewasilishwa jijini Dodoma na Mwenyekiti wa Kamati…

Rais Samia ataka mchujo wa wagombea ndani ya CCM uendeshwe kwa haki na uwazi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi wa chama hicho kuhakikisha mchakato wa kuwachuja wagombea unazingatia haki, maadili na maslahi ya chama pamoja na…

Waziri Mkuu akutana na Makamu wa Rais wa JICA

*JICA, Benki ya Dunia na AFDB watoa Dola za Marekani mil 516 miradi ya kilimo *Washauri elekezi wawili Mjapan na Mtanzaniia wawekwa TIC kurahisha uwekezaji WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA) limeihakikishia…

Balozi Matinyi akutana na Watanzania wanapishi nchini Uswidi

Balozi wa Tanzania katika Ufalme wa Uswidi, Mobhare Matinyi, tarehe 29 Mei, 2025, alifanya kikao na Watanzania wanaoishi nchini humo katika viwanja vya ofisi za ubalozi jijini Stockhom. Katika kikao hicho kilicholenga kufahamiana na kujadiliana kuhusu masuala ya Diaspora, Mhe….

Wajumbe wa Mkutano Mkuu CCM wakiburudika Dodoma

WAJUMBE  wa Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiburudika burudani ya mziki kutoka Kikundi cha Sanaa cha Tanzania One Theatre (TOT), kikiongozwa na Malkia wa Mipasho na Mziki wa Taarab, Bi. Khadija Omar Abdallah Kopa, leo Ijumaa tarehe…