Latest Posts
Sekta ya madini yachangia ujenzi wa uwanja wa mpira Chunya
*Ujenzi wafikia asilimia 85 *Una viwango vya kutumiwa na Timu zote ikiwemo Simba, Yanga, Azam na nyingine Chunya Katika mwendelezo wa kuchangia ukuaji wa sekta nyingine kwa maendeleo ya Taifa na Jamii, shughuli za madini katika Mkoa wa Kimadini Chunya…
Mafia yafungua soko huru la mwani, wakulima kunufaika
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Wilaya ya Mafia, mkoani Pwani, imesisitiza ushindani huru katika soko la mwani ili kumnufaisha mkulima, kuinua pato pamoja na kukuza uchumi wa wilaya hiyo . Kwa mujibu wa takwimu za mwaka wa fedha 2024/2025, mavuno…
Doyo : NLD itaondoa kero ya foleni Dar, kuwa kitovu cha biashara Afrika Mashariki
Mgombea urais kupitia Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, ameendelea na kampeni zake kwa kasi jijini Dar es Salaam kupitia mtindo wa kipekee wa “Mobile Kampeni”, mfumo unaomuwezesha kufanya mikutano mingi kwa siku moja katika maeneo mbalimbali. Doyo amefanya mikutano…
Jingu awahimiza viongozi wanawake chipukizi kuleta mabadiliko halisi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu, amewahimiza viongozi wanawake chipukizi barani Afrika kuchukua hatua thabiti na kuleta mabadiliko halisi katika safari zao za uongozi. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo…





