JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tupunguze kulalamika

Bunge hili la kitaifa linajulikana kama Bunge la 11 (eti mimi nalihesabu kama Bunge la 12, kadiri ya kumbukumbu zangu, nilivyoonesha kwa miaka). Ni Bunge la wasomi na ni Bunge la mkato (cross-cutting Parliament) kwa kuwa limejumuisha wabunge wa rika…

Penye titi pana titi

Pokea salamu za upendo na heri ya mwaka mpya 2016, wewe msomaji wa gazeti JAMHURI na safu ya FASIHI FASAHA. Pili, naomba radhi kwa kipindi cha mwezi mmoja na nusu uliikosa safu hii kutokana na mimi mwandishi kufanyiwa operesheni ya…

Yah: Ni Tanzania tu mzawa anaponyanyaswa na mgeni

Sasa hivi naitafuta Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania – iwe ile ya zamani au hata hii mpya – ambayo haijapigiwa kura na kupitishwa na Watanzania. Tanzania ni moja kati ya mataifa yaliyokuwa na heshima sana kwa raia wake…

Yah: Ni Tanzania tu mzawa anaponyanyaswa na mgeni

Sasa hivi naitafuta Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania – iwe ile ya zamani au hata hii mpya – ambayo haijapigiwa kura na kupitishwa na Watanzania. Tanzania ni moja kati ya mataifa yaliyokuwa na heshima sana kwa raia wake…

Mtikisiko Man U

Kocha Mkuu wa Manchester United, Louis Van Gaal hana amani tena katika timu hiyo. Amezungumza mambo mawili ambayo yamemshtua wikiendi iliyopita. Jambo la kwanza, ni kuthibitishwa na watu wake wa karibu kwamba Kocha machachari, Jose Mourinho ameteta na uongozi wa…

Jipu jipya

Ufisadi mpya na mwanya wa wizi wa mapato makubwa ya Serikali umebainika kufanywa kwenye uingizaji wa gesi, mafuta ya kula, mafuta ya magari na mafuta ya viwandani nchini kutokana na kupuuzwa kwa matumizi ya mita (flow meters). Katika eneo la…