JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

NuKUU ZA WIKI

  Nyerere: Wanadamu huongozwa na sheria “Nchi zote duniani huongozwa na wanadamu na si malaika. Wanadamu hawa huongozwa na Sheria na si kwa akili zao wenyewe.”   Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliyasema haya wakati akihimiza Watanzania kulinda…

Mjue Bestizzo wa sasa

*Alianza kwa Muumin, kisha Dimond

*Sasa amedakwa na Wema SepetuNi msanii chipukizi, kijana mdogo mwenye umri wa miaka 21. Kwa sasa amedakwa na msanii maarufu na Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. Huyu kijana si mwingine yeyote bali ni Best Werema maarufu kwa jina la Bestizzo. Kwa sasa ni mwajiriwa katika kampuni ya Wema Sepetu inayojulikana kama Endless Fame Production.

Yah: Mtakuwa maskini wa kutupwa mkishakufa

Nakumbuka niliwahi kuwaandikia barua ya kuwataka muwe makini na hayo yanayoitwa maendeleo. Baadhi yenu mlionesha kuipinga kwamba hakuna maendeleo yasiyokuja na mabadiliko ya tabia.

Taifa linawahitaji ‘wajasiriakazi’

Nimekuwa nikiandika makala za hamasa kuhusu ujasiriamali, ikiwa ni hatua ya kukabiliana na mabadiliko ya kiuchumi ambapo kuna upungufu mkubwa wa ajira, lakini pia kuna mfumko wa gharama za maisha kiasi kwamba hata walioajiriwa wanapata wakati mgumu kumudu vema maisha ya kila siku.

Mawalla: Mfanyabiashara aliyewapenda Wazungu kuliko Watanzania wenzake

Mwanasheria na mmoja wa wafanyabiashara Watanzania vijana, Nyaga Mawalla (pichani chini), amefariki dunia. Amefariki dunia akiwa bado kijana mwenye umri mdogo, lakini mwenye mafanikio makubwa kibiashara.

FASIHI FASAHA

Ulimi mzuri mali, mbaya hatari

Sitafuti mashahidi wa haya nitakayosema, kwani kauli nitakayotoa ni yumkini na yanayotokea hapa Tanzania – ya watu kusema na kutenda mambo bila hadhari.