Latest Posts
KWA HILI LA OKWI Yanga inahadaa mashabiki wake
Edgar Aggaba, mwanasheria wa Emmanuel Okwi, nyota wa soka wa kimataifa kutoka Uganda, hakufika Dar es Salaam kusimamia kesi ya mchezaji huyo wakati Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ilipojadili mkataba na usajili wake katika klabu ya Yanga.
Lovy Longomba Gwiji aliyetokea katika familia ya wanamuziki
“Mtoto wa nyoka ni nyoka.” Usemi huu wa wahenga unajionesha wazi kwa baadhi ya familia zilizojaaliwa kuwa na vipaji vikubwa.
Vipaji hivyo vinaweza kuwa vya kucheza mpira, muziki, kucheza sarakasi, riadha, ndondi n.k.
Warioba, Spika Sitta wateketeza Sh 100bil
Kila mtu ni mjasiriamali
Watu wengi huwa wananiuliza swali hili mara kwa mara, “Je, kila mtu ni lazima awe mjasiriamali?”
Nimekuwa nikiwajibu na leo ninataka kulijibu kwa namna nyingine na kwa upana. Ili kulijibu swali hili ninaomba nitumie Biblia kupata baadhi za rejea.
Uchafu waharibu mandhari ya mji wa Songea
Wananchi Manispaa ya Songea wameelezea wasiwasi wao kuhusu kukumbwa na milipuko wa magonjwa mbalimbali, kutokana na kukidhiri kwa uchafu katika maeneo mbalimbali yakiwamo soko kuu la mji buo.
Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wamesema miundombinu ya maji taka Soko Kuu la Songea ni mibovu. Mitaro ya mji huo imefurika na kutiririsha maji hovyo yanayosambaa kwenye maeneo ya wauza nyanya, vitunguu, samaki na dagaa.
Mchakato wa Katiba haukuandaliwa vizuri
Kama tujuavyo Bunge la Mabadiliko ya Katiba limekumbwa na vurugu na misukosuko kiasi cha kutia aibu Taifa letu.
Nashindwa kusema Bunge hilo liliendelea kujadili Rasimu ya Katiba kwa ukaidi wa nani. Maana wakati wote magenge mbalimbali ya watu waliendelea kudai Bunge hilo lisitishe shughuli zake, hasa baada ya wabunge wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia Bunge hilo.
- UDSM yaishukuru Serikali Awamu ya Sita kuboresha miundombinu ya elimu na utafiti
- Tanzania, India yaingia makubaliano kuendeleza tiba asili
- Prof. Shendoe awaelekeza walimu wakuu kudhibiti utoro wa wanafunzi na walimu
- Wanamichezo wahamasishwa kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia
- Naibu Waziri Maghembe ashiriki Maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru wa Zambia
Habari mpya
- UDSM yaishukuru Serikali Awamu ya Sita kuboresha miundombinu ya elimu na utafiti
- Tanzania, India yaingia makubaliano kuendeleza tiba asili
- Prof. Shendoe awaelekeza walimu wakuu kudhibiti utoro wa wanafunzi na walimu
- Wanamichezo wahamasishwa kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia
- Naibu Waziri Maghembe ashiriki Maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru wa Zambia
- Waziri Simbachawane ateta na askofu Dk Bagonza
- Dk Mwingulu aweka jiwe la msinhgi ujenzi wa Kampasi ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam Mkoa Lindi
- Serikali yasisitiza utaalamu na ubunifu katika ununuzi na ugavi
- Makamu wa Rais awasili Uganda – kushiriki mkutano wa Jumuiya ya Maziwa Makuu
- Waziri Mkuu akagua ujenzi wa shule mpya ya msingi Likong’o
- Dk Akwilapo : Ingieni katika dunia ya kazi kwa moyo wa uadilifu
- DC Mpogolo amewataka madiwani Ilala kushirikiana na wenyeviti wa mitaa
- Kwa heri John Sabi Nzuryo, tutaonana baadae
- Livembe: Mchakato wa uchaguzi ulikuwa wa haki na halali
- Simbachawane- Vitambulisho vya NIDA kuunganishwa na huduma nyingine