Latest Posts
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
Kulalamika kunalowesha uchumi wetu
Naandika makala hii nikiwa nahudhuria kongamano la uwekezaji kwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini. Wiki zijazo nitawashirikisha fursa za kibiashara na kiuwekezaji zilizopo Nyanda za Juu Kusini (mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya).
Operesheni saka wachawi yatikisa Geita
Vikongwe waauwa
Operesheni haramu ya mauaji ya kinyama dhidi ya wanawake vikongwe, inayofanywa na kikundi cha Chinja Chinja isipodhibitiwa mkoani wa Geita, kuna hatari ya hazina hiyo muhimu kwenye Taifa kumalizika kwa kuuawa bila hatia.
Mwanamke aliyenusurika kifo kisa dini
Meriam Yahia Ibrahim Ishag au Maryam Yahya Ibrahim Ishaq ni raia wa Sudani kwa anayeishi nchini Marekani katika Jimbo la Philadelphia kwa sasa, kutokana na kukimbia nchini kwake baada ya kupona hukumu ya kifo kwa madai ya kuasi dini yake.
Tuvunje Bunge la Katiba tukawahoji wananchi kama wanataka Muungano
Wiki hii nafahamu kuwa kuna tukio la aina yake nchini. Ni kwa mantiki hiyo, nashindwa kuendelea na mada yangu ya gesi. Naomba niisogeze mbele kwa wiki moja. Yanayotokea ni ya mpito, ila Tanzania itabaki.
UKAWA mwaweza kuchagua vita, amani
Kwa muda wa miaka mitatu nchi yetu imeshuhudia mnyukano wa mchakato wa kupata Katiba mpya. Mnyukano huu ulianza rasmi mwaka 2011 Rais Jakaya Kikwete alipotangaza kuandikwa kwa Katiba mpya. Tangazo la Rais Kikwete lilianzisha mchakato wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, ambayo hatimaye imelifikisha taifa katika kupata rasimu.
- UDSM yaishukuru Serikali Awamu ya Sita kuboresha miundombinu ya elimu na utafiti
- Tanzania, India yaingia makubaliano kuendeleza tiba asili
- Prof. Shendoe awaelekeza walimu wakuu kudhibiti utoro wa wanafunzi na walimu
- Wanamichezo wahamasishwa kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia
- Naibu Waziri Maghembe ashiriki Maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru wa Zambia
Habari mpya
- UDSM yaishukuru Serikali Awamu ya Sita kuboresha miundombinu ya elimu na utafiti
- Tanzania, India yaingia makubaliano kuendeleza tiba asili
- Prof. Shendoe awaelekeza walimu wakuu kudhibiti utoro wa wanafunzi na walimu
- Wanamichezo wahamasishwa kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia
- Naibu Waziri Maghembe ashiriki Maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru wa Zambia
- Waziri Simbachawane ateta na askofu Dk Bagonza
- Dk Mwingulu aweka jiwe la msinhgi ujenzi wa Kampasi ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam Mkoa Lindi
- Serikali yasisitiza utaalamu na ubunifu katika ununuzi na ugavi
- Makamu wa Rais awasili Uganda – kushiriki mkutano wa Jumuiya ya Maziwa Makuu
- Waziri Mkuu akagua ujenzi wa shule mpya ya msingi Likong’o
- Dk Akwilapo : Ingieni katika dunia ya kazi kwa moyo wa uadilifu
- DC Mpogolo amewataka madiwani Ilala kushirikiana na wenyeviti wa mitaa
- Kwa heri John Sabi Nzuryo, tutaonana baadae
- Livembe: Mchakato wa uchaguzi ulikuwa wa haki na halali
- Simbachawane- Vitambulisho vya NIDA kuunganishwa na huduma nyingine