JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Buriani Mzee Kitwana Selemani Kondo ‘KK’

Jumatano Mei 24, 2017 ni siku ambayo itakumbukwa na Watanzania wengi na hasa Waislamu, kwa kuondokewa na mzee wetu, Alhaj Kitwana Selemani Kondo, maarufu KK au mzee wa mjini. Siku nne kabla ya kifo chake, mwanaye wa kiume, Adnan Kitwana…

Ndugu Rais nionyeshe hata ukurasa mmoja usio na makosa…

Ndugu Rais Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi Stadi alitupiwa kitabu cha Kingereza kilichochapwa na Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) mezani pake kisha akaulizwa; “Nionyeshe hata ukurasa mmoja tu ambao hauna makosa katika…

Mwalimu Nyerere niliyemjua (5)

Kwa uzito wa busara kubwa iliyotumika katika salamu hizo za rambi rambi na kwa kuogopa kupotosha uzito huo nalazimika kuziwasilisha kwa lugha hiyo hiyo ya kiingereza kama ifuatavyo; “For the men and women who have served the great cause of…

Tuwekeze soka la vijana

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeshauriwa kutafuta wadhamini wenye uwezo wa kujenga vituo vya kukuza vipaji, kuliko kuendelea kuokoteza wachezaji. JAMHURI limezungumza na wadau wa soka, ambao wamesema mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 17, yanayoendelea…

Useful Information Explained

To solve difficulties with searchability together with assessment of information, it’s essential to understand something about the content. In case the info isn’t right, or even low-quality, the manager could possibly earn a decision that has a negative effect on…

Waziri apiga ‘dili’

Wakala wa Nishati Vijijini (REA), analalamikiwa kutoa zabuni za mabilioni ya shilingi na mamilioni ya dola kwa kampuni kadhaa za ndani na nje ya nchi katika mazingira yanayotia shaka, JAMHURI limeambiwa. Miongoni  mwa wanufaika ni mmoja wa mawaziri katika Serikali…