Latest Posts
Eneo la Shule ya Mwongozo Kinondoni kumegwa
Katika mambo mengi mazuri ambayo Serikali imeyafanya, hapana shaka ni kujenga uzio au kuta kuzunguka maeneo ya shule.
Kikwete: Kagame, Museveni, Kenyatta wamenishangaza
Asema wamevuja Mkataba, Itifaki ya Afrika Mashariki
Asisitiza Tanzania inaipenda Jumuiya, haitatoka kamwe
Aonya wasahau ardhi, ajira, kuharakisha shirikisho
Alhamishi wiki iliyopita, Rais Jakaya Kikwete amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kueleza mambo manne ya msingi. Amezungumzia mchakato wa Katiba mpya, Operesheni Tokomeza, ushiriki wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika kulinda amani Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) na hatima ya Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kutokana na umuhimu wa hotuba hii, na historia inayoweza kuwa imewekwa na hotuba hii katika siku za usoni, Gazeti JAMHURI limeamua kuchapisha hotuba hii neno kwa neno kama sehemu ya kuweka kumbukumbu na kuwapa fursa Watanzania, ambao hawakupata nafasi ya kuisikiliza hotuba hii, kuisoma na wao pia kuhifadhi kumbukumbu. Endelea…
Tusisukumwe na hoja za kisiasa kujitoa EAC
Katika dunia yetu ya leo ya utandawazi, suala la nchi yoyote duniani kubaki kama kisiwa halipo kabisa. Maendeleo katika teknologia ya mawasiliano yameifanya dunia yetu igeuke kuwa kijiji kimoja.
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -3
FIKRA YA HEKIMA
Bunge likipata Lugola 10 litainyoosha Serikali yetu
Ninatamani kuona siku moja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linafanikiwa kuwa na angalau wabunge 10 aina ya Alphaxard Kangi Ndege Lugola, ambao watatosha kuinyoosha Serikali yetu.
Mambo muhimu kuanzisha biashara -2
Katika toleo lililopita mwandishi wa makala haya alieleza jinsi mfanyabiashara anayeanza kufanya biashara anavyoweza kulipa kodi yake ya mwaka sasa anatoa mfano jinsi ya utaratibu wa ulipaji wa kodi hiyo endelea
- Polisi watinga Ofisi za CUF Buguruni, Sakaya apinga uamuzi wa msajili
- Wajasiriamali Jimbo la Mtumba kukopeshwa bilioni 2 za mtaji
- Dk Mwigulu : Serikali itaendelea kuiboresha Bandari ya Tanga ili kukidhi ushindani
- Serikali yazindua awamu ya kwanza ya mradi wa kupeleka nishati safi ya kupikia
- Mwinyi : Serikali imejipanga kumaliza tatizo la usafiri na usafirishaji Pemba
Habari mpya
- Polisi watinga Ofisi za CUF Buguruni, Sakaya apinga uamuzi wa msajili
- Wajasiriamali Jimbo la Mtumba kukopeshwa bilioni 2 za mtaji
- Dk Mwigulu : Serikali itaendelea kuiboresha Bandari ya Tanga ili kukidhi ushindani
- Serikali yazindua awamu ya kwanza ya mradi wa kupeleka nishati safi ya kupikia
- Mwinyi : Serikali imejipanga kumaliza tatizo la usafiri na usafirishaji Pemba
- Dk Kusiluka afungua mkutano wa Sita wa Serikali Mtandao, atoa maagizo
- Dk Mwigulu : Fedha za miradi zitumike kama ilivyokusudiwa
- Kihongosi akagua utekelezaji miradi ya bil. 2.5 Nzega
- Tume ya uchunguzi yakutana na Katibu Mkuu Mnyepe, Gugu
- RPC Songwe aongoza kuuaga mwili wa Ex Sajenti Perpetua
- Kinywaji kipya chazinduliwa Dar
- Tanzania, Malawi wasaini mkataba kuimarisha biashara za wafanyabiashara wadogo
- Samba mbaroni kwa tuhuma za kukutwa mirungi Same
- Kamati ya ushauri Kibaha yapitisha bajeti ya bilioni 66.7/- kwa mwaka wa fedha 2026/2027
- Zelensky: Urusi inajiandaa kufanya mashambulizi Zaidi