Latest Posts
ACT Mabale yaahidi bima ya afya kwa wazee na wajane
Na Theophilida Felician, JamhuriMedia, Kagera Mgombea udiwani kupitia tiketi ya ACT WAZALENDO kata Mabale jimbo la Misenyi mkoani Kagera Mhandisi Sweetberty Kaizilege Jonh amewaahidi bima ya afya kundi la wazee na wajane ili kuwasadia kupata matibabu bure. Mgombea Sweetberty ameyabainisha…
Chalamila Azindua Programu ya ‘Konekt Umeme, Pika kwa Umeme’
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, leo Oktoba 9, 2025, amezindua rasmi programu ya “Konekt Umeme, Pika kwa Umeme”, ubunifu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) unaolenga kuongeza matumizi ya…
Msajili Hazina ashiriki uzinduzi ujenzi mgodi wa madini Kinywe
Na Mwandishi wa OMH Mahenge, Morogoro. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, ameshiriki uzinduzi wa shughuli za ujenzi wa mgodi wa madini ya kinywe (graphite), uliofanywa na Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, katika hafla iliyofanyika Alhamisi, Oktoba 9, 2025,…
Samia asema CCM haikomoki,kufufua bandari Musoma
Na Kulwa Karedia, Jamhuri Media Musoma Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema ndani ya Mkoa wa Mara kuna watu wamenuna nuna, wanachochea na kusaidia wagombea wa vyama vya upinzani ili waikomoe CCM. Rais Samia…
Makonda : Tafakari kwanza kabla ya kupiga kura Oktoba 29
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amesema kuwa wakati wa kupiga kura Oktoba 29, wananchi wanapaswa kutafakari mambo yaliyoko katika maeneo yao na kuchagua chama chenye uwezo wa kuyatekeleza kwa mujibu wa…
Wasira atahadharisha kikundi cha chokochoko kwenye mitandao
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media- BUNDA MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, ametoa tahadhari kwa wananchi dhidi ya kikundi cha watu wachache wanaoleta chokochoko katika mitandao ya kijamii wanaotaka kuvuruga amani. Amesema kikundi hicho ni miongoni…





