Latest Posts
Warioba, Spika Sitta wateketeza Sh 100bil
Kila mtu ni mjasiriamali
Watu wengi huwa wananiuliza swali hili mara kwa mara, “Je, kila mtu ni lazima awe mjasiriamali?”
Nimekuwa nikiwajibu na leo ninataka kulijibu kwa namna nyingine na kwa upana. Ili kulijibu swali hili ninaomba nitumie Biblia kupata baadhi za rejea.
Uchafu waharibu mandhari ya mji wa Songea
Wananchi Manispaa ya Songea wameelezea wasiwasi wao kuhusu kukumbwa na milipuko wa magonjwa mbalimbali, kutokana na kukidhiri kwa uchafu katika maeneo mbalimbali yakiwamo soko kuu la mji buo.
Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wamesema miundombinu ya maji taka Soko Kuu la Songea ni mibovu. Mitaro ya mji huo imefurika na kutiririsha maji hovyo yanayosambaa kwenye maeneo ya wauza nyanya, vitunguu, samaki na dagaa.
Mchakato wa Katiba haukuandaliwa vizuri
Kama tujuavyo Bunge la Mabadiliko ya Katiba limekumbwa na vurugu na misukosuko kiasi cha kutia aibu Taifa letu.
Nashindwa kusema Bunge hilo liliendelea kujadili Rasimu ya Katiba kwa ukaidi wa nani. Maana wakati wote magenge mbalimbali ya watu waliendelea kudai Bunge hilo lisitishe shughuli zake, hasa baada ya wabunge wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia Bunge hilo.
ongezi JWTZ kwa kutimiza miaka 50 -2
Juma lililopita, nilitoa pongezi kwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kutimiza miaka 50 tangu kuanzishwa Septemba Mosi, 1964. Ukweli Jeshi hili liliasisiwa baada ya Jeshi la Tanganyika (Tanganyika Rifles-TR) kuasi Januari 20,1964.
Pongezi ‘JAMHURI’, Maimuna Tarishi mapambano ya mauaji ya tembo
Tunaomba kukupongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi, na baadhi ya wadau kwa kufungua baadhi ya fahamu za Watanzania wazalendo na wanyonge, na huo ndiyo uongozi bora kwa viongozi wapenda maendeleo ya nchi yao.
- Mikopo ya Bilioni 2.6/- yatolewa na Halmashauri ya Jiji la Arusha
- CCM Kibaha Mjini yashirikiana na RITA kusogeza huduma kwa wananchi
- Serikali yaboresha ufanisi wa uingizaji bidhaa za afya kwa kuunganisha mifumo
- Hemed : Katangulizeni maslahi ya Tanzania
- Samamba atoa wito GST kuboresha mazingirea ya kazi, kuimarisha ushirikiano
Habari mpya
- Mikopo ya Bilioni 2.6/- yatolewa na Halmashauri ya Jiji la Arusha
- CCM Kibaha Mjini yashirikiana na RITA kusogeza huduma kwa wananchi
- Serikali yaboresha ufanisi wa uingizaji bidhaa za afya kwa kuunganisha mifumo
- Hemed : Katangulizeni maslahi ya Tanzania
- Samamba atoa wito GST kuboresha mazingirea ya kazi, kuimarisha ushirikiano
- Rais Dk Mwinyi : Zanzibar kuimarisha ushirikiano na WHO katika kuboresha sekta ya afya
- Taasisi za umma zatakiwa kufanya mapitio ya sera, sheria na kanuni zinazokinzana ili kuboresha mnyororo wa ugavi
- Tanzania yaeleza mafanikio na fursa za uwekezaji sekta ya makazi katika kongamano la miji Afrika
- Rais wa zamani wa Malawi Chakwera akutana na Waziri Kombo
- Zaidi ya ajira 50,000 zimezalishwa kutokana na miradi mikubwa ya Serikali
- Wafanyabiashara waipa tano Serikali kutoa ruzuku ya pembejeo kwa wakulima Ruvuma
- Ngorongoro ni nyumbani kwa kila binadamu – Kamishna Badru
- Waziri Mkuu: Tutaboresha bajeti ya elimu
- Hakuna zuio la kuanza utekelezaji wa mradi wa LNG – Dk Mwigulu
- Sheikh awasihi Watanzania kudumisha amani