Latest Posts
Polisi matatani tena
JESHI la Polisi limeingia matatani kwa kumtangaza ‘mbaya wao’ aliyeibua kile alichodai kwamba ni mtandao wa uhalifu na mauaji ndani ya Jeshi hilo mkoani Mwanza, kwamba ni kichaa.
Misitu ya Asili na Maendeleo ya Jamii Tanzania (1)
Kwanza napenda kuchukua fursa hii kumshukuru sana Mwenyezi Mungu, muumba wa mbingu na dunia na vyote vilivyomo tukiwamo sisi wanadamu, kwa mema mengi mno anayonitendea na hasa kwa kutujalia uhai hadi leo hii.
Nakiona kifo cha Tanzania
*Naendelea kusimama kama Galileo Galilei
Mjadala unaoendelea sasa miongoni mwa Watanzania wengi, ni huu unaohusu Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyozinduliwa wiki iliyopita.
Wachina hufanya chochote wanachotaka
Juni 1964 Tanzania ilitembelewa kwa mara ya kwanza na kiongozi wa ngazi ya juu kutoka China. Alikuwa Wazari Mkuu Chou en-Lai.
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
Mauaji ya Barlow wingu zito latanda
*Polisi wasema kijana aliyetaja mtandao ni mgonjwa wa akili
*Yeye asisitiza kuwa kichaa, analazimishwa dawa Muhimbili
*Ndugu waeleza historia, daktari anayemtibu aingia mitini
Jeshi la Polisi nchini limempeleka na kumlaza katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, kijana Mohamed Malele, mshirika wa mtandao uliohusika kumuua Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Liberatus Barlow, wakidai ni mgonjwa wa akili.
- Wakulima wa pamba washauriwa kuacja kilimo cha mazoea na kulima kwa tija zaidi
- Dk Nchimbi afanya mazungumzo na Balozi wa Qatar nchini
- Waziri Mavunde aongoza kikao kutatua mgogoro mgodi wa Ililika – Nyarugusu
- TAKUKURU yakutana na wadau sekta ya afya Bunda
- Mzabuni Manyoni kizimbani kwa tuhuma za kutoa nyaraka za uongo na kughushi
Habari mpya
- Wakulima wa pamba washauriwa kuacja kilimo cha mazoea na kulima kwa tija zaidi
- Dk Nchimbi afanya mazungumzo na Balozi wa Qatar nchini
- Waziri Mavunde aongoza kikao kutatua mgogoro mgodi wa Ililika – Nyarugusu
- TAKUKURU yakutana na wadau sekta ya afya Bunda
- Mzabuni Manyoni kizimbani kwa tuhuma za kutoa nyaraka za uongo na kughushi
- DC Bunda awaasa wadau sekta ya afya kutoa ushirikiano kwa TAKUKURU
- Mbunge wa Tunisia afungwa miezi nane jela kwa kumdhihaki rais
- Mwadhamana Polycarp Kardinali Pengo 1994- 2026
- TIRDO yapongezwa, yaagizwa kujitangaza zaidi
- Saba wafikishwa mahakamani kwa tuhuma za dawa za kulevya Same
- Australia yatoa bil. 15/- kunufaisha kampuni na mashirika ya uzalishaji yanayochipukia Tanzania
- CCM yatuma salamu za rambirambi kifo cha Kardinali Polycarp Pengo
- Polisi yawashikilia wanne kwa tuhuma za mauaji ya waendesha bodaboda Tabora
- Sangu : Mawakala wa ajira binafsi zingatieni mwongozo
- DED Regina: Hakuna wanafunzi wanaosoma kwenye madarasa yaliyoezuliwa paa Kibaha