Latest Posts
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Tunamtaka rais anayechukia rushwa
“Rushwa ni adui wa haki. Tunamtaka rais atakayelitambua hilo, atakayeichukia rushwa hata ukimwangalia aoneshe kweli anaichukia rushwa, sio rais anayesema kweli rushwa ni adui wa haki… lakini ukimwangalia usoni unashangaa na kusema… aaaah kweli huyu?”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
JWTZ kuleta amani DRC-Membe
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe, amesema anaamini kuwa msimamo na uamuzi wa kupeleka kikosi cha kulinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) utaleta amani ya kudumu nchini humo.
Bravo CHADEMA, CUF mmeonesha ukomavu
Wiki iliyopita, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama cha Wananchi (CUF) vilionesha ukomavu wa kisiasa.
Waandishi vijana wanaua uhuru wa habari
Tunapozungumzia uhuru wa habari tunakuwa na maana mbili. Kwanza, uhuru wa vyombo vya habari kutoa habari zilivyo bila kutishwa au kusumbuliwa. Pili, uhuru wa wananchi kupewa habari zilivyo bila vikwazo au kufichwa.
FIKRA YA HEKIMA
Dalili mbaya CCM kuelekea 2015
Ni dhahiri kuwa sasa dalili mbaya zimeanza kuonekana ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, mwaka 2015.
FASIHI FASAHA
Haki, ukweli ni nguzo za amani
Tanzania inaelekea kupoteza sifa ya upendo, ukarimu na uzalendo kutokana na hulka ya baadhi ya viongozi hapa nchini kupuuza na kutupa uadilifu. Sababu za kufanya hivyo ni kuweka mbele nafsi, kujilimbikizia mali, kudhulumu na kupenda mno anasa.