JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tusisukumwe na hoja za kisiasa kujitoa EAC

 

Katika dunia yetu ya leo ya utandawazi, suala la nchi yoyote duniani kubaki kama kisiwa halipo kabisa. Maendeleo katika  teknologia ya mawasiliano yameifanya dunia yetu igeuke kuwa kijiji kimoja.

FASIHI FASAHA

Vyama vya upinzani ni vichanga? -3

Katika sehemu ya pili ya makala haya wiki iliyopita, nilizungumza kuanzishwa vyama vingi vya siasa na malengo yao. Pia niligusia kauli iliyotolewa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, wakati wa Uchaguzi Mkuu 1995 kuhusu uwezo wa vyama vya upinzani kushinda katika chaguzi kuu za mwaka 1995 hadi 2010. Leo tunaendelea…

FIKRA YA HEKIMA

Bunge likipata Lugola 10 litainyoosha Serikali yetu

Ninatamani kuona siku moja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linafanikiwa kuwa na angalau wabunge 10 aina ya Alphaxard Kangi Ndege Lugola, ambao watatosha kuinyoosha Serikali yetu.

Mambo muhimu kuanzisha biashara -2

 

Katika toleo lililopita mwandishi wa makala haya alieleza jinsi mfanyabiashara anayeanza kufanya biashara anavyoweza kulipa kodi yake ya mwaka sasa anatoa mfano jinsi ya utaratibu wa ulipaji wa kodi hiyo endelea

Tanzania kushiriki Reggae Ethiopia

Bendi ya muziki wa Reggae ya mjini Arusha ya ‘The Warriors From the East’ inarajia kushiriki katika tamasha maalum la Muziki wa Reggae, litakalofanyika nchini Ethiopia mwishoni mwa mwezi huu.

Tathmini Ligi Kuu Tanzania Bara

Mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom soka Tanzania Bara ulifikia tamati Alhamisi ya wiki iliyopita. Hatua hiyo inatoa nafasi kwa wachezaji na makocha wao kupata mapumziko mafupi, kabla ya kuendelea kwa mzunguko wa pili wa Ligi hiyo hapo Januari 25 mwakani.