JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Biteko afurahishwa mwitikio Tulia Marathoni Mbeya

Na Manka Damian ,JamhuriMedia , Mbeya NAIBU Waziri Mkuu ,Dkt.Dotto Biteko amesema kuwa amefurahishwa kuona mwitikio mkubwa kwa wananchi wa mkoa wa Mbeya katika mashindano ya Riadha Mbeya BETIKA Tulia Marathoni ikiwa ni msimu wa tisa . Dkt.Biteko amesema hayo…

Tanzia; Charles Hilary afariki dunia

Charles Hilary (66), ambaye alikuwa ni Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu ya Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, amefariki dunia. Hilary amefariki alfajiri ya leo na taarifa kutoka kwa watu wa karibu wamesema ameugua ghafla…

Serikali itaendelea kuiamini na kuiunga mkono Red Cross – Dk Biteko

📌 DkT Biteko amwakilisha Rais Samia Mkutano wa mwaka Red Cross📌 Awataka kutembea kifua mbele kwa kazi za Kudumisha Ubinadamu📌 RED CROSS yaishukuru Serikali kwa kuungwa mkono Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali itaendelea…

Dk Biteko ashiriki Tulia Marathon Mbeya

📌 Ampongeza Dkt. Tulia kwa ubunifu na kusaidia wahitaji 📌 Wananchi 9,000 wapata bima za afya kupitia Tulia Marathon 📌 Awashukuru wadau na wasanii kwa kushiriki Tulia Marathon Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri…

Makala : Changamoto za barabara Ulanga na Malinyi zitafanyiwa kazi

•Akiri kupokea changamoto za barabara, Maji, Umeme na maombi ya hospitali ya Wilaya ya Ulanga ULANGA: Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla amesema pamoja na mafanikio ya miradi mingi ya maendeleo amepokea…

Tanzania, DRC kukuza uchumi kupitia bandari

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimesaini hati ya makubaliano inayolenga kuboresha na kuimarisha miundombinu ya usafirishaji, ikiwemo bandari sambamba kuchochea shughuli za kiuchumi wa nchi hizo….