JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mwalimu aliyejipatia mafao kutoka PSSF milioni 70.3 kwa udanganyifu aenda jela miaka 65

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Simiyu Mei 7, 2025 ilimtia hatiani Mwalimu Emmanuel Pamba Evarist katika shauri la Uhujumu Uchumi namba 9350/2024 mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Mhe. Martha Mahumbuga, akiwepo…

Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Simanjiro afikishwa mahakamani kwa rushwa

Katika Mahakama ya Wilaya ya Simanjiro, Mei 8, 2025 limefunguliwa shauri la Uhujumu Uchumi namba 11041/2025 mbele ya Onesmo Nicodemo, Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Wilaya ya Simanjiro dhidi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Simanjiro Samuel Warioba…

Kapinga azindua kituo mama cha gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) Dar

๐Ÿ“Œ Ni cha Pili kwa ukubwa barani Afrika; Cha Kwanza kwa ukubwa EAC ๐Ÿ“Œ Kujaza Gesi Asilia kwenye magari 1200 kwa siku ๐Ÿ“Œ Ampongeza Dkt. Samia kutatua changamoto za wananchi kwa vitendo ๐Ÿ“Œ Aipongeza TPDC; Ataka Vituo vya CNG kuendelea…