Latest Posts
Shirika la Posta Tanzania lashiriki kongamano la eLearning Afrika, laja na huduma ya Swifpack
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKA la Posta Tanzania ni miongoni mwa washiriki katika kongamano la 18 la eLearning Afrika ambapo limetambulisha huduma ya ‘Swifpack’. Swifpack inalenga kuchukua vifurushi na abiria kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa urahisi…
Matumizi ya nishati safi ya kupikia kufikia asilimia 75 mwaka 2030 – Dk Biteko
📌 Dkt. Biteko akutana na Balozi wa Japan nchini 📌 Tanzania na Japan kuendelea kuimarisha ushirikiano wake 📌 Dkt. Biteko aishukuru Japan kufadhili mradi wa umeme Singida Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu…
Wajumbe, mabalozi 2,200 wanufaika na mafunzo ya utatuzi wa migogoro Songea
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea WIZARA ya Katiba na Sheria, imeanzisha program ya kutoa mafunzo ya utatuzi wa migogoro kwa njia mbadala ambapo wajumbe na mabalozi 2,200 kutoka kata 11 za jimbo la Songea mkoani Ruvuma wamenufaika. Mafunzo hayo yalifunguliwa…
Papa aongoza misa kwa mara ya kwanza
Papa Leo XIV ameongoza Misa katika Kanisa la Sistine, ikiwa ni mara ya kwanza kufanya hivyo kama kiongozi wa Kanisa Katoliki. Alibusu madhabahu na kuizunguka mara moja akiwa na moshi wa ubani. Papa aomba msamaha wa Mungu Ibada hiyo imeanza…
Papa Leo XIV apokelewa kwa matumaini Congo
Risala za pongezi bado zinaendelea kutolewa kutoka kote duniani baada ya Kanisa Katoliki kumchagua kiongozi wake mkuu – Leo XIV. Papa Leo wa 14 amechaguliwa wakati ambapo nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imekosa usalama kwa miongo kadhaa sasa….
Trump anaitaka Urusi kusitisha vita kwa siku 30 na Ukraine
Rais wa Marekani Donald Trump ameishinikiza Urusi kukubali mpango wa usitishaji mapigano bila masharti kwa siku 30 na Ukraine. Amesema ukiukaji wowote wa mpango huo utaadhibiwa na vikwazo. Trump ameanzisha upya wito huo baada ya kuzungumza na Rais wa Ukraine…