JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo

Msumbiji itashirikiana na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete( JKCI) kwa kuwatuma wataalamu wake kujifunza namna ya kutoa huduma za matibabu ya moyo  kwa wagonjwa ili nchi hiyo iwe uwezo wa kutoa huduma hizo kwa wananchi. Ushirikiano mwingine ni wa kuwapeleka…

Adaiwa kumuua mwanamke kwa tuhuma za kumuambukiza virusi UKIMWI

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Mara JESHI la Polisi Mkoa wa Mara linamshikilia Samweli Emmanuel maarufu kwa jina la ‘Nzaliya’ (20), mkazi wa kijiji cha Nata, Wilaya ya Serengeti, kwa tuhuma za mauaji ya Josephina Magani (52), ambaye pia ni mkazi wa…

Tanzania yadhamiria kuendeleza mageuzi ya kidigitali katika elimu

📌 Asema Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa elimu 📌 Asema Afrika lazima iendelee kuimarisha mazingira wezeshi kwa kampuni bunifu za kidigitali Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe….