Latest Posts
Kijiji kizima chafukiwa na maporomoko Sudan, watu zaidi ya 1,000 wafariki
Jimbo la Darfur limekumbwa na janga kubwa la maporomoko ya ardhi ambapo kijiji kizima cha Tarasin kilichoko katika milima ya Jebel Marra kimesombwa kabisa na kusababisha vifo vya takriban watu 1,000. Mamlaka za ndani nchini Sudan, Umoja wa Mataifa na…
Bei ya mafuta ya petroli kwa Septemba yashuka
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za mafuta zinazotumika kuanzia leo Septemba 3, 2025, zikionesha kupungua kwa kwa shilingi 36 kwa bei ya petroli na shilingi 23 kwa bei ya dizeli kwa mafuta…
Mmiliki kiwanda cha kutengeneza ndege Morogoro aongeza mkataba wa uwakilishi wa heshima
Balozi wa Tanzania katika Jamhuri ya Czech mwenye makazi yake Berlin, Ujerumani, Mhe. Hassani Iddi Mwamweta wamewekeana saini mkataba na Mwakilishi wa Heshima wa Tanzania katika Jamhuri ya Czech, Bw. Roman Glorig wa kuhuisha rasmi nafasi yake ya uwakilishi wa…
Mradi wa Tactic kujenga barabara za lami KM 17 Manispaa ya Geita
Na Mwandishi Wetu MRADI wa TACTIC unatekeleza ujenzi wa barabara zenye urefu wa Km 17 kwa kiwango cha lami katika Manispaa ya Geita, mkoani Geita unaotarajiwa kufungua mawasiliano katika Manispaa hiyo. Ujenzi wa barabara hizo inaelezwa kuwa zitachochea biashara na…
Matumizi ya nishati safi kupikia yapata msukumo mpya
Na Mwandishi Wetu, Mwanza MATUMIZI ya nishati safi ya kupikia yamepata msukumo mpya jijini Mwanza baada ya baadhi ya wananchi kukabidhiwa zawadi walizojishindia kupitia kampeni ya “Gesi Yente” inayoendeshwa na kampuni ya Oryx Energies, kama motisha ya kuhamasisha ununuzi na…





