JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

India yaishambulia Pakistan kwa makombora

INDIA imefyetua makombora kadhaa ndani ya ardhi ya Pakistan mapema leo alfajiri na kusababisha vifo vya watu 8, katika mashambulizi yanayoweza kuzusha vita baina ya nchi hizo mbili jirani na hasimu wa miaka mingi. Mamlaka za Pakistan zimesema makombora ya…

Mvua yaleta maafa Moshi, watatu wafariki kwa kuagukiwa na nyumba wakiwa wamelala

Na Kija Elias, JamhuriMedia, Moshi Watu watatu wamefariki dunia baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kubomoka kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kilimanjaro. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Mkuu wa Wilaya ya Moshi Godfrey…

Mbaroni kwa tuhuma za kumuua mwanaye na kumtupa chooni Iringa

Na Mwandishi Maalum, JamhuriMedia, Iringa Jeshi la Polisi mkoni Iringa linamshikilia Joseph Yustino Mhilila mkazi wa mtaa wa Lukosi Kata ya Mtwivila kwa tuhuma za kumuua mtoto wake Timotheo Mhulikwa (6) aliyepotea tangu Aprili 1, 2025. Akizungumzia tukio hilo Mwenyekiti…

BMT yatoa neno kuelekea tuzo za michezo

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kuelekea msimu wa tatu wa tuzo za michezo ambazo hutolewa kila mwaka kwa kuwathamini wanamichezo waliofanya vizuri kwa mwaka husika baraza la michezo la taifa(BMT) limesema kuwa tuzo hizo zinatarajiwa kuwa na…

Kongamano la kwanza la Nishati Safi ya kupikia Afrika Mashariki lafanyika

📌 Tanzania yapongezwa kuwa kinara utekelezaji Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia 📌 Kamishna Luoga aeleza hatua zinazochukuliwa na Serikali kuwezesha wananchi kutumia Nishati Safi ya Kupikia 📌 UNDP yampa kongole Rais Samia kwa Dira ya Nishati Safi ya Kupikia…