JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mbeto :Hakuna cha kuzuia ushindi wa CCM Zanzibar 2025-2030

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Chama Cha Mapinduzi kimesema kitashinda Uchaguzi Mkuu wa Oktoba Mwaka huu kwa mujibu wa sheria na taratibu za kidemokrasia kwani hakuna sababu ya CCM kushindwa Visiwani Zanzibar . Katibu wa Kamati Maalum ya Nec Zanzibar, Idara…

Mgombea kiti cha urais Za’bar achukua fomu

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji George Joseph Kazi (kulia) amemkabidhi fomu ya uteuzi mgombea wa kiti cha urais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman leo Agosti 31, 2025. Othman anayegombea kupitia Chama cha Act-Wazalendo, amekabidhiwa fomu katika…

Dk Mpango aikaribisha Ghana kuwekeza ncini

Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amewakaribisha wawekezaji kutoka Ghana kuwekeza nchini kupitia fursa nyingi zilizopo katika sekta ya madini, kilimo, utalii, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), elimu na huduma za jamii. Dk Mpango ameeleza hayo alipozungumza na Balozi…

Wanafunzi 2,328 wafanyiwa uchunguzi magonjwa ya moyo Kibaha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kibaha Wanafunzi 2,328 kutoka Shule ya Msingi Mailimoja na Sekondari ya Bundikani zilizopo Wilaya ya Kibaha mkoa wa Pwani wamefanyiwa uchunguzi wa awali wa magonjwa ya moyo. Upimaji huo umefanyika katika kambi maalumu ya siku mbili…