JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yatatua mgogoro wa mwekezaji na wachimbaji wadogo Ifumbo, Chunya-Mbeya

Ni maelekezo ya Rais Dkt. Samia kutafuta ufumbuzi wa mgogoro huo  Waziri Mavunde aelekeza Wanakijiji kupewa Leseni kuhalalisha uchimbaji wao Mwekezaji aruhusiwa kuendelea na uwekezaji kwa Leseni za eneo la Lupa Market Uchimbaji wa Eneo la Ifumbo wasimamishwa mpaka vibali…

Majaliwa : Serikali inatambua na kuthamini mchango mkubwa wa vyombo vya habari

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Waandishi wa Habari nchini kutumia Akili Mnemba (Artificial Inteligence) kama nyenzo ya kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo na sio kikwazo cha uhuru wao. Amesema kuwa katika dunia ya sasa, vyombo vya habari vinakutana…

Ukimya wetu unaliumiza Taifa

Na Manyerere Jackton, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tunaweza kujifanya hatuoni wala hatusikii. Tunaweza kujifanya yanayotokea na kuwapata Watanzania wenzetu ni yao wao, si yetu! Tunaweza, kwa upofu na utamu wa madaraka, tukadhani kuwa sisi ni chama tawala, na kwamba tutakuwa…

Kenya yasitisha matangazo ya kamari katika majukwaa yote ya mawasiliano

Bodi ya Udhibiti wa Kamari na Utoaji Leseni imesimamisha matangazo ya kamari kwenye majukwaa yote ya mawasiliano na vyombo vya habari kwa siku 30, na marufuku hiyo inaanza kutekelezwa mara moja. Mwenyekiti wa bodi hiyo, Jane Mwikali Makau, akisimamisha matangazo…

Urusi yaukomboa mji wa Kursk uliotekwa na Ukraine

Rais wa Urusi Vladimir Putin amepokea ripoti kutoka kwa Mkuu wa Majeshi ya Urusi Jenerali Valery Gerasimov iliyothibitisha kukomboa mji wa Kursk baada ya miezi karibu kumi ya mji huo kutekwa na majeshi ya Ukraine na washirika yaliyopo katika mkoa…

Mume wa marehemu mwimbaji wa muziki wa injili wa Nigeria kunyongwa

Mahakama Kuu huko Abuja amemhukumu Peter Nwachukwu, mume wa mwimbaji maarufu wa injili Osinachi, kifo kwa kunyongwa kwa kupatikana na hatia ya mauaji. Hukumu hiyo, iliyotolewa na Jaji Nwosu-iheme, inatolewa miaka mitatu baada ya kifo cha Osinachi kilichotokea mnamo Aprili…