Latest Posts
Amnesty yakosoa hatua za Trump akitimiza siku 100 madarakani
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binaadamu la Amnesty International limetoa Jumanne ripoti yake ya kila mwaka na kukosoa vikali hatua za rais wa Marekani Donald Trump, ambaye ametimiza siku 100 akiwa madarakani. Amnesty imesema hatua za Trump zinalenga…
Mwalimu angekuwapo leo, angeitwa mhaini
Na Joseph Mihangwa, JamhuriMedia, Shinyanga “Waasi wa Serikali, wengi kuliko wa dini, wengi hawaendi kusali, lakini wana imani, ambayo kwamba kamili, bila kasoro moyoni. Kama haba ya adili, Serikali huwa chini, ikawa yatenda feli, za shari na nuksani, na dhuluma…
Wanasiasa msibeze maendeleo yaliyoetwa na Rais Samia – Waziri Ndumbaro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Waziri wa Katiba na Sheria Dkt Damas Ndumbaro amewataka wanasiasa kutojifanya hawayaoni maendeleo katika sekta mbalimbali yaliyoletwa na Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan. Dkt Ndumbaro ametoa wito huo katika…
Serikali Awamu ya Sita kinara utoaji wa fedha za ruzuku kwenye kilimo – Bashe
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ni kinara katika ukanda wa Kusini mwa Afrika kwa kutoa fedha nyingi za ruzuku katika sekta ya kilimo cha mazao mbalimbali ya…