JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wasiojulikana wamshambulia aliyekuwa Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya ya Same Mapande

Na Ashrack Miraji, JamhuriMedia, Same Watu wasiojulikana wamemshambulia kwa mapanga aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, Bw. Yusto Mapande, usiku wa Agosti 21, 2025 majira ya saa tatu usiku, wakati akiingia nyumbani kwake. Katika tukio hilo, Mapande alijeruhiwa…

Bagamoyo sasa ni Halmashauri ya Mji, Serikali kumwaga bilioni 1

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohammed Mchengerwa, ametangaza rasmi kupandishwa hadhi kwa Halmashauri ya Bagamoyo na kuwa Halmashauri ya Mji wa Bagamoyo. Tamko hilo…

Watumishi wa afya waaswa kuhudumiwa wananchi kwa upendo

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohammed Mchengerwa, amewataka wataalamu wa sekta ya afya nchini kufanya kazi kwa weledi, kusikiliza wananchi na kuwahudumia kwa moyo…

Mkutano wa TISA wa Wakuu wa Nchi na Serikali TICAD wahitimishwa jijini Yokohama

Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu Maendeleo ya Afrika (Tokyo International Conference on African Development) umehitimishwa jijini Yokohama, Japan, tarehe 22 Agosti 2025, baada ya siku tatu za majadiliano yaliyoendeshwa chini ya…

Wazazi wahimizwa kuwatibu watoto ugonjwa wa mafindofindo kuwaepusha na magonjwa ya valvu za moyo

Wazazi wamehimizwa kuwatibu watoto wanaopata ugonjwa wa mafindofindo (tonsillitis) kuwaepusha na hatari ya kupata magonjwa ya valvu za moyo. Hayo yamesemwa na Daktari bingwa wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Salehe Mwinchete wakati wa kambi maaluumu ya…

JKCI kudhibiti vifo vya ghafla vya shambulio la moyo kwa wanamichezo

Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imetia saini ya makubaliano ya ushirikiano na Chama Cha Madaktari wa Moyo cha nchini Misri kuanzisha huduma za upimaji na matibabu ya magonjwa ya shambulio la moyo kwa wanamichezo ili kuzuia vifo vya…